Vijana wanakusanywa mitaani na kupigwa risasi

Vijana wanakusanywa mitaani na kupigwa risasi

Mkulima

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2007
Posts
1,442
Reaction score
2,217
Please please ndugu saidieni. Maeneo mbalimbali ya Ilala Boma shule na sehemu zingine za Dar vijana wanakusanywa barabarani na kufungwa mikono kisha wanapigwa risasi.

Pia kuna taarifa vijana walioumia wapo hospitalini wanakusanywa na kwenda kuwaua.

Kuna hatari sana usiku. Yale ya Janjaweed yanatokea Dar na maeneo mengine usiku huu.

Wanajeshi please msiruhusu unyama huu. Tusiruhusu vijana wetu wauawe hivyo.

Hata Mbeya kuna taarifa karibu na hizo.
 
Nimeandika Uzi humu kuwaasa watu wawaambie vijana , walale yalipo magari ya JWTZ, maana majumbani ni killing zone..ila Tujipe moyo wa Imani mkuu , hapa sasa taifa Linaponywa
 
Kwanini Lakini? Hawajaridhika na maelfu ya hao vijana waliowaua?

Kwasasa kwa vijana wanaowatafuta, wakiwakamata wanawapiga risasi.


Jeshi please wasaidieni vijana wetu. Usiku hali ni mbaya sana.
 
Yale ya Nduli Iddy Amini Dada naona yanakuja sasa najiuliza wanakusanywa majumbani au barabarani?
 
Samia utalipa hizi damu zote ulizomwaga na unazoendelea kumwaga, sasa hatuna tofauti na Mogadishu
 
Yale ya Nduli Iddy Amini Dada naona yanakuja sasa najiuliza wanakusanywa majumbani au barabarani?
Kuna makundi mawili.
Wengine wana list ya watu wanaowatafuta. Wakiwapata wanawafunga mikono kisha kuwapiga risasi na kuondoka.

Kundi Lingine wakikutana na vijana ambao wanadhani wanashiriki maandamano wanawakamata na kuwapiga risasi.

Nafikiri Lengo ni kutisha.

Kuna watu wanapigwa risasi hata wanaoenda madukani. Hasa vijana wa kiume.

Barabarani kuna vikosi vya polisi vinaua vijana. Usiku huu maeneo ya Ilala mpaka Buguruni kuna vikosi hivyo.
 
Kuna makundi mawili.
Wengine wana list ya watu wanaowatafuta. Wakiwapata wanawafunga mikono kisha kuwapiga risasi na kuondoka.

Kundi Lingine wakikutana na vijana ambao Ramadhani wanashiriki maandamano wanawakamata na kuwapiga risasi.

Nafikiri Lengo ni kutisha.

Barabarani kuna vikosi vya polisi vinaua vijana. Usiku huu maeneo ya Ilala mpaka Buguruni kuna vikosi hivyo.
Samia kumamake lina roho mbaya kuliko iddi amin, acha waue tuu, hizo bunduki zitaanza kupatikana mtaani kwa bei ya maandazi, kuna watu ndio biashara yao wameshaona opportunity zitaanza kuingia then tuone kama nao watapona
 
Acha propganda na upotoshaji
Mpumbavu wewe. Nenda sasa maeneo hayo.

Waambieni vijana usiku huu wapo safe kuwa kwenye makundi makubwa ya pamoja.

Kutembea wachache Wachache ni hatari kubwa. Lakini pia kuna vijana wanawindwa majumbani.

Hili linatokea sehemu mbalimbali ila usiku huu hali maeneo ya Dar ni mbaya sana.

Kama kuna wanajeshi humu please nendeni maeneo ya Ilala mpite na patrols hao wauaji wakimbie.

Jeshi fanyeni patrols usiku. Kwa usiku ni hatari zaidi.
 
Please please ndugu saidieni. Maeneo mbalimbali ya Ilala Boma shule na sehemu zingine za Dar vijana wanakusanywa barabarani na kufungwa mikono kisha wanapigwa risasi.

Pia kuna taarifa vijana walioumia wapo hospitalini wanakusanywa na kwenda kuwaua.

Kuna hatari sana usiku. Yale ya Janjaweed yanatokea Dar na maeneo mengine usiku huu.

Wanajeshi please msiruhusu unyama huu. Tusiruhusu vijana wetu wauawe hivyo.

Hata Mbeya kuna taarifa karibu na hizo.
Na Mbeya siku ya jana 30.10.2025 walifanya hivyo kuua watu majumbani mwao
 
Na Mbeya siku ya jana 30.10.2025 walifanya hivyo kuua watu majumbani mwao
Yes ,hii ni kweli kuna mtu from mbeya ameniambia leo.. wafanyakazi vijana wa kiume wa shule yake walibini kumbilia vilimani jana usiku, kuna kikosi cha kinatembea usiku
 
Mpumbavu wewe. Nenda sasa maeneo hayo.

Waambieni vijana usiku huu wapo safe kuwa kwenye makundi makubwa ya pamoja.

Kutembea wachache Wachache ni hatari kubwa. Lakini pia kuna vijana wanawindwa majumbani.

Hili linatokea sehemu mbalimbali ila usiku huu hali maeneo ya Dar ni mbaya sana.

Kama kuna wanajeshi humu please nendeni maeneo ya Ilala mpite na patrols hao wauaji wakimbie.

Jeshi fanyeni patrols usiku. Kwa usiku ni hatari zaidi.
We boya nipo hapa ilala hakuna kitu kama Acha kuchochea vurugu !
 
Inawezekana kuwa kweli na inawezekana kuwa uzushi
Na mbaya zaidi kama uzushi sababu itajenga hofu
Na kama ni kweli ni vizuri kuwa na ushahidi hasa katika hizi zama kijiditali ambapo kila mtu anaweza kupiga picha akiwa mbali na kuleta habari yenye ushahidi kamili....
 
Why not rush those thugs and hack them to death?

Vijana mko kwenu na mko wengi halafu mnaruhusu kufanyiwa hivyo?

Come on now.
 
Inawezekana kuwa kweli na inawezekana kuwa uzushi
Na mbaya zaidi kama uzushi sababu itajenga hofu
Na kama ni kweli ni vizuri kuwa na ushahidi hasa katika hizi zama kijiditali ambapo kila mtu anaweza kupiga picha akiwa mbali na kuleta habari yenye ushahidi kamili....
Kama unamfahamu polisi rafiki wa Dar muulize nini kinaendelea huko mitaani.

Kule Mbeya haya yamefanyika tokea juzi.

Hii ni mbaya sana. So far picha za magari hayo ya polisi wenye magari meupe zipo.

Pia sasa kuna Shida ya kutuma picha TZ muda huu.

Kuna mauaji yanafanyika Dar usiku. Kama Unaweza kusaidia please saidia.

Kama ni propaganda potezea.
 
Why not rush those thugs and hack them to death?

Vijana mko kwenu na mko wengi halafu mnaruhusu kufanyiwa hivyo?

Come on now.
Nyani
Wanavizia makundi ya vijana wale Wachache Wachache.
Pia wapo na majina ya vijana ambao wanawatafuta. Kwahiyo usiku huu ndio wanatafuta na kuwa chukua kisha kuwapiga risasi.
 
Back
Top Bottom