nyamanolokwetu
Member
- Jan 30, 2023
- 89
- 284
RUNGU lilianza wiki iliyopita pale vijana wa JKT walipoenda kwenye Usaili wa Magereza. Ikumbukwe kuna makundi mawili ya vijana wa JKT,la kwanza ni wale walioenda JKT kwa KUJITOLEA (hawa wengi huwa Kidato cha Nne).Kundi la pili ni wale walioenda JKT KWA MUJIBU WA SHERIA (hawa huwa ni Kidato cha Sita).
Wiki iliyopita vijana walioitwa kufanya Usaili wa Kujiunga na Magereza walitangaziwa kwamba kuna MUONGOZO kwamba wote waliopita JKT KWA MUJIBU WA SHERIA wasifanye Usaili huo na hawakufanya wakafurushwa.Wale waliopita JKT KWA KUJITOLEA ndio waliofanya Usaili.
Za ndani ni kwamba hata Vijana waliofanya Usaili Jeshi la Polisi na kwenye Vyombo vingine RUNGU hili nalo litawadondokea.
Wiki iliyopita vijana walioitwa kufanya Usaili wa Kujiunga na Magereza walitangaziwa kwamba kuna MUONGOZO kwamba wote waliopita JKT KWA MUJIBU WA SHERIA wasifanye Usaili huo na hawakufanya wakafurushwa.Wale waliopita JKT KWA KUJITOLEA ndio waliofanya Usaili.
Za ndani ni kwamba hata Vijana waliofanya Usaili Jeshi la Polisi na kwenye Vyombo vingine RUNGU hili nalo litawadondokea.