Vijana waliooa wanakwaza sana

Vijana waliooa wanakwaza sana

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
7,589
Reaction score
17,736
Likizo yangu ya mwaka huu ilifika. Nikaona likizo hii nikai-spend home (Dar es Salaam) kule nilikokulia (kwa shangazi).

Sasa bwana kwenye hii likizo kuna jambo linatokea halafu linanikera sana tena hasa.

Kuna wale mabraza wa mtaa.
Kuna mabraza ambao ni ndugu hujaga home.
Na mabraza wengine naokutana nao njiani huko nikiwa kwenye mishe za mjini.

Sasa bana mabraza wote Wana "ujinga" fulani hivi unaofanana wa kuuliza......

1. Umeoa
2. Utaoa lini?
3. Kwanini mpaka leo hujaoa?

Yaani Wana maswali yakiwaki na ya ajabu balaaa. Ni vile tu busara huwezi kupanick au kuwajibu hovyo. Sijui hudhani kuoa ndio mafanikio.

Hivi nyie mlioa HUWA MNAJIKUTA NDIO MNAAKILI, Yaani kwa kuwa MMEOA basi ndio MMEPATIA MAISHA?
Yaani unakutana na mtu K.koo, hamjaonana miaka. Badala muongelee madili ye "Ni maswali ya kiwaki ya kuoa tu"

Kuna mmoja nimemjibu mbaya, maana kusema kweli alizidi, na moyo ukashindwa kuvumilia maudhi.

Shangazi alimuita nyumbani aje weekend. Braza akaja na mkewe.

Huyu braza ye kila point of meeting ya familia, iwe msosi, maombi, sebuleni tu tunapiga story ye ni "Mr. Liverpool uoe" alianza ijumaa yotee, mara jumamosi yotee akaendeleza ujinga wake.

Ilipofika jumapili nikaona huyu sasa anazidi nilimpa jibu moja tu, Hakuendelea Tena na uwaki wake.

Halafu nyie mabraza kinachoshangaza, mnataka tuoe michepuko yenu.

Yaani zile mbunye ambazo mnazisugua, na kulala nazo ambazo ni michepuko yenu NDIO MNATAKA TUOE SISI?

Yaani sisi tuoe residual zenu?

Yaani mko na demu halafu mnamwambia "Tuendelee kunyanduana halafu ukipata mtu wa kukuoa tutaachana"

Hivi ma "single boy" wenzangu mnaelewa hili?

Mabraza eeeh PUNGUZENI MAMBO YA KIWAKI.
Tukikutana hebu tuongelee madili kama huna cha maana si tuongelee basi Simba juzi kubebwa kwenye shirikisho.

Nimekupa taarifa Niko Dar, niite bar tuje kuongea madili.
Nipe dili la kwenda Iringa maporini nikukusanyie mirunda uje kununulia Iringa mjini uniachie pesa.
Nipe dili niende Mtera nikakutafutie samaki uje kuuza kwenye mgahawa wako.

Kifupi kama kweli unajali maisha yangu basi NIPE DILIIII niingize pesa na sio kunikomalia na maswali ya ajabu.

Mambo ya kukutana halafu we huna la maana zaidi ya "Utaoa lini" ni UZUZU huu aiseee.

Mnazingua balaa. Nina hasira balaaa. Hatupendi maswali yenu ya KIWAKI.

Tuendelee kutafuta hela

"If you think money does not bring happiness, nenda kamuulize yule mtumishi wa Umma aliyenyimwa posho yake na muhasibu moyo wake ulivyo"

#YNWA
 
Unapaniki kuulizwa umeoa?
Niutoto unasumbua ukikua utaacha
Maana hapo sioni chaajabu
Ngiri mwengine huyu hapa...

Kwani bro tukikutana tukaongelea michongo "huo utoto" hautokua?

Na kwanini mkishauliza kuoa huwa hamna maswali mengine?

Niulize mbona juzi ulipost mahindi we ni mkulima? Hapohapo niambie "Kuna mwarabu anataka gunia 100 vipi unazo?"

#YNWA
 
Tatizo lako umekalili madili tu. Utazani ndo kwanza unaanza kuyajua madili mabroo zako wanaona kuongelea madili na wewe bado hujakomaa bola wakuulize kuoa kwanza mambo mengine ndo yanafuata.

Ila kifupi kubishana na wavulana ni shida yataka moyo maana ndo kwanza wanaanza kuyajua maisha
 
Tatizo lako umekalili madili tu
Utazani ndo kwanza unaanza kuyajua madili mabroo zako wanaona kuongelea madili na wewe bado hujakomaa bola wakuulize kuoa kwanza mambo mengine ndo yanafuata.
Kwamba ili ukomae unatakiwa kuoa?
Kwamba kipimo cha ukomavu ni kuoa?

Mbona nawajua walio kibaoo halafu maisha yao ni mabovu tu.
la kifupi kubishana na wavulana ni shida yataka moyo maana ndo kwanza wanaanza kuyajua maisha
Wewe ni juha eeeh
Ngoja madogo wakutomb** ndio utajua Kati ya single boy na wewe nani anayajua maisha.

#YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom