Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Kwamba wakulungwa wa kitaani wanapigwa vibomu na Hawa wadada wa chuo? Si kweli labda kwa uchache Sana.
Ninaexperience huku 'mtaa' wahuni wakimuotea mtoto wa chuo sista duu huwa wanasimamia shoo ya kibabe kunako bed coz Kama unavyojua washkaji hawapendi kupoteza point tena wakishakula mambo yao kush na pombe Kali show show ... Wadada hawabanduki kwa mageto yao na msosi wanapika na boom vilevile linapigwa pasu.
Hao wanapigwa mizinga mizito ni washamba tu na malimbukeni.
Ninaexperience huku 'mtaa' wahuni wakimuotea mtoto wa chuo sista duu huwa wanasimamia shoo ya kibabe kunako bed coz Kama unavyojua washkaji hawapendi kupoteza point tena wakishakula mambo yao kush na pombe Kali show show ... Wadada hawabanduki kwa mageto yao na msosi wanapika na boom vilevile linapigwa pasu.
Hao wanapigwa mizinga mizito ni washamba tu na malimbukeni.