Vijana wa enzi zile karibuni

Vijana wa enzi zile karibuni

i am reliably informed that ABBA have been re-united and they expect to release their first song by december 2018. tusubiri kuviona vibibi (Agnetha na Anni-Frid) na vibabu (Bjorn na Benny)
Niliangalia dicumentary ya maisha yao wakiwa ABBA. Walikuwa couples na kazi ya wanaume ilikuwa kutunga nyimbo na wanawake kucheza na kuimba. Wanaume waliitikia vibwagizo na kupiga piano. It was the real meaning of team work.

They had a success but it caused their relationships to die. In the end the decided to be friends.
 
Wale Wa enzi hizo tuliopenda miziki ya Zaire aka Bolingo ,Cavasha unatusaidiaje tukumbuke enzi. Kiingereza nakijua kiasi ila frankly speaking wazungu wakiimba sisikii maneno yao isipokuwa wachache kama Celine Dion, Shakira na wengine wachache. Lingala siielewli lakini nyimbo zao ziliniteka miaka hiyo. Kulikuwa na imani miziki ya kizungu ilikuwa ya wachaga ,sababu take sijui labda ndio wasomi Wa enzi hizo. Lakini nadhani ni matter of interest , tulivyochukia ubepari hadi utamaduni wao tukauchukia, hatukutofautisha. Weka na Bolingo nzuri za enzi hizo if you don't mind.
 
Wale Wa enzi hizo tuliopenda miziki ya Zaire aka Bolingo ,Cavasha unatusaidiaje tukumbuke enzi. Kiingereza nakijua kiasi ila frankly speaking wazungu wakiimba sisikii maneno yao isipokuwa wachache kama Celine Dion, Shakira na wengine wachache. Lingala siielewli lakini nyimbo zao ziliniteka miaka hiyo. Kulikuwa na imani miziki ya kizungu ilikuwa ya wachaga ,sababu take sijui labda ndio wasomi Wa enzi hizo. Lakini nadhani ni matter of interest , tulivyochukia ubepari hadi utamaduni wao tukauchukia, hatukutofautisha. Weka na Bolingo nzuri za enzi hizo if you don't mind.
 
Back
Top Bottom