mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,559
- 10,608
Mie nilifikiri kijana wangu ana problem anaweza kutoka na begi halina kitu simu na headphone mkononi siku moja mama jirani alinuuliza eti mkwe wangu anasoma tuition? nilikosa la kujibu.
nimecheka saaaaana mkuu wote hadi wazee wanabeba vibegi wamekuwa wanafunzi dsm mobimbaSijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.
Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
Wenzio ni ubrazaduu ila wewe unabebea laptop na docs za ofisi?!! Na mwengine nae anakuona brazaduu anajiona yeye peke yake ndio anabebea vitu vya maana.Wengi ni ubradhaduu tu, kwan huchunguzi mabegi yenyewe wanabana mikanda kibegi kinapanda juuu.. yan wanajiona wasafiri (rejea: begi mgongoni, na ramani ka mzugu: mwana fa)
Japo tupo tunaowekea vitu vya maan espsecially wanavyuo na wafanyakazi . mfano ukiniona na begi tu mgongoni ujue ndan yake kuna laptop na document za ofisi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nilifikiri kijana wangu ana problem anaweza kutoka na begi halina kitu simu na headphone mkononi siku moja mama jirani alinuuliza eti mkwe wangu anasoma tuition? nilikosa la kujibu.
Sawa. Lakini kiukweli wengi ni ubradhaduu tu. Hakuna cha maana kibebwachoWenzio ni ubrazaduu ila wewe unabebea laptop na docs za ofisi?!! Na mwengine nae anakuona brazaduu anajiona yeye peke yake ndio anabebea vitu vya maana.
Mimi huwa wananikera tu kwenye mwendokasi! Mtu kalibeba begi mgongoni halafu anapita katikati yenu matokeo yake libegi linawapa bughudha!Sawa. Lakini kiukweli wengi ni ubradhaduu tu. Hakuna cha maana kibebwacho
Exactly hiyo ndo faida ya kuwa na bagAcheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona nyie watu wa mikoani mkibeba majembe mabegani hatuwaulizi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona nyie watu wa mikoani mkibeba majembe mabegani hatuwaulizi?