Ilikuwa ni jambo la aibu na fedhea kubwa pale vijana wanao jipendekeza katika tabaka tawala na ambao elimu yao haijawakomboa hapa UDOM baada ya kuzomewa kwa sauti kubwa zikisindikizwa na ma vuvuzela hivyo kuwafanya kuvua jezi hizo na kuficha kwenye mabegi na kwenda kuvalia mbele ya safari. Vlevle jana ucku gari la matangazo la ccm lilipigwa mawe lilipo fika kutangaza. ALUTA...........!!!!!