Vijana wa CCM wachezea kichapo Kigoma

Vijana wa CCM wachezea kichapo Kigoma

Maandamano ni utashi wa wanakigoma, Zitto asishusishwe.
 
Chadema wanaivuruga amani ya gili taifa
Unafiki ni Kipaji.......niliandika jana , kuhusu njama zilizopangwa, tayari zinaendelea kuthibitiwa .......Kikao chenu jana kilirekodiwa , nilipoiona sura yako nikajisikia vibaya ........shame.....
 
sixgates usharudi dar au bado unabanana kumtetea bwana mkubwa zitto
 
Last edited by a moderator:
baaasi jamani! Mutawaua bure jamani,ni njaa ndiyo iliyowasukuma kufanya hivyo,umasikini,ujinga na njaa ndiyo mitaji muhimu kwa chama chetu ccm.
Tatizo si njaa tu,bali ni uzembe na tamaa ya kipato cha short cut,ndio maana anayewatuma alikataa posho ila akakubali RUSHWA.
 
Maandamano ni utashi wa wanakigoma, Zitto asishusishwe.

Ushaona maandamano yanashawishiwa kwa kasi kubwa kama hii?
Hapana kama watu hawataki hawataki tu.
Watu wameamka
 
MTU MMOJA NDUMILAKUWILI KWA UROHO NA UBINAFSI ANATAKA KUHARIBU MFUMO MZIMA WA CHAMA NA JITIHADA ZOTE ZILIZOFANYWA ZIWE SIFURI HILI NI JAMBO LISILOKUBALIKA KAMWE, SISI WANANCHI TUNAUFAHAMU WA KUTOSHA TUMECHOSHWA NA UTAWALA HUU,HATUNA MATUMAINI TENA YA VIZAZI VYETU KWA SIKU ZA USONI chadema ndio kimbilio letu ""KURA GYA MUTU IGYE KUMOYO KUWAKE""
 
Ushaona maandamano yanashawishiwa kwa kasi kubwa kama hii?
Hapana kama watu hawataki hawataki tu.
Watu wameamka

Kama upo kigoma waambie watanzania wa mikoa mingine ukweli na hali halisi juu ya vuguvugu la maandamano mjin kigoma maeneo yote ya ujiji,ilala,mwanga watu wana hamwe hamwe juu ya democrasia iliyozimwa kama mshumaa ndani ya chadema. Zingatia hali halisi na uripoti ukweli.
 
Naona badala ya kujibu hoja wanachedema wanamshika uchawi zitto eti kaandaa maandamano wakt ni utashi wa wanakigoma

Hoja gani za kujibu wewe? wanaoshawishi tunawaona huku?
tena asubuhi ya leo na jana jioni walikuwa wanatumia vipaza sauti kwa baadhi ya maeneo
 
Hoja gani za kujibu wewe? wanaoshawishi tunawaona huku?
tena asubuhi ya leo na jana jioni walikuwa wanatumia vipaza sauti kwa baadhi ya maeneo

Sasa mkuu ebu tuambie, hayo maandamano yanaweza yakafanikiwa kwa maoni yako?
 
Back
Top Bottom