chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
Piga tu hao mbwa koko
Unafiki ni Kipaji.......niliandika jana , kuhusu njama zilizopangwa, tayari zinaendelea kuthibitiwa .......Kikao chenu jana kilirekodiwa , nilipoiona sura yako nikajisikia vibaya ........shame.....
baaasi jamani! Mutawaua bure jamani,ni njaa ndiyo iliyowasukuma kufanya hivyo,umasikini,ujinga na njaa ndiyo mitaji muhimu kwa chama chetu ccm.
Wapigwe.namimi nasema wapigwe tu.Tumechoka!Habari kutoka kwa chanzo changu cha kuaminika kutoka kigoma zinasema vijana wanne wa CCM akiwamo yule alie fukuzwa chadema wame chezea kichapo kutoka kwa vijana wa ujiji wasio penda kununuliwa na ccm,inasemeka vijana hao wa ccm wanapita mitaani kuwanunua madereva wa boda boda ili wajitokeze kwenye maandamano ya kupinga ziara ya dr slaa.
NITAWALETEA HABARI ZAIDI.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kwa kushirikiana na wananchi, wakimdhibiti mmoja wa vijana waliofanya fujo katika mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, uliofanyika katika kijiji cha Mabamba wilayani Kibondo mkoani Kigoma. (Picha na Joseph Senga)