Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,668
Mbona huko kungine ameweza kufanys
Maandamano ni utashi wa wanakigoma, Zitto asishusishwe.
Hapa town ujiji mambo yako vululuvululu watu wanashawia waandamane kesho.
mi niseme tu amani ya wanakigoma ipo mikononi mwetu na siyo kwa Zitto, CCM, Dr. Slaa wala Chadema.
tusidanganywe
Sasa mkuu ebu tuambie, hayo maandamano yanaweza yakafanikiwa kwa maoni yako?
mi nipo Kigoma mjini.
naona mambo ambayo sijawahi kuyaona.
Hao waliokuja kigoma ndo chanzo cha hilo.
Kama upo kigoma waambie watanzania wa mikoa mingine ukweli na hali halisi juu ya vuguvugu la maandamano mjin kigoma maeneo yote ya ujiji,ilala,mwanga watu wana hamwe hamwe juu ya democrasia iliyozimwa kama mshumaa ndani ya chadema. Zingatia hali halisi na uripoti ukweli.
Kama tulivyo wabalasa ndani ya chama na ndivyo mtakavyo shindwa na maandamano yenu
Mbona huko kungine ameweza kufanys
Ebu fafanua,ni mambo gani hayo ambayo haujawahi kuyaona?
Mkuu mi ninachoona hapa ni kuwa wananchi wanakuwa wagumu sana kuamini hayo unayoyasema wewe hapo juu..
kama kuwapa vijana pesa ili waandamane.
na hata kutumia vipaza sauti.
Mkuu mi ninachoona hapa ni kuwa wananchi wanakuwa wagumu sana kuamini hayo unayoyasema wewe hapo juu,
tena mi nilijaribu kuongea na baadhi ya vijana wa bodaboda nijue wamekula ngapi ngapi, wengi hawajafikia muafaka! nimewasihi sana wasikubali kurubuniwa hata kidogo, na kama watapewa pesa wachukue afu hiyo kesho watulie tu.
Wewe upo Tanzania gani ambayo hujawahi kuona vijana wakipewa pesa?upo Tanzania gani ambayo maandamano hayatangazwi kwa vipaza sauti?
Naona kuna kitu usichotaka kutwambia kinachokufanya uone ni ajabu..
Mkuu wewe ni nan hapo kg, una nafasi katika chama?
Ccm mbona mnampenda sana zito? Msisahau kumkumbusha kumeza dozi kwa wakati!
Nipo singida mkuu
Sasa hivi sipo kigoma. Nipo singida. Nisihusishwe.
sixgates usharudi dar au bado unabanana kumtetea bwana mkubwa zitto
Sasa mkuu ebu tuambie, hayo maandamano yanaweza yakafanikiwa kwa maoni yako?