piper
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 3,253
- 613
Wapigwe tu
Na watapigwa sana, kama wanajifanya wabishi na jeuri
Wapigwe tu
Kama upo kigoma waambie watanzania wa mikoa mingine ukweli na hali halisi juu ya vuguvugu la maandamano mjin kigoma maeneo yote ya ujiji,ilala,mwanga watu wana hamwe hamwe juu ya democrasia iliyozimwa kama mshumaa ndani ya chadema. Zingatia hali halisi na uripoti ukweli.