Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 659
Habari kutoka kwa chanzo changu cha kuaminika kutoka kigoma zinasema vijana wanne wa CCM akiwamo yule alie fukuzwa chadema wame chezea kichapo kutoka kwa vijana wa ujiji wasio penda kununuliwa na ccm,inasemeka vijana hao wa ccm wanapita mitaani kuwanunua madereva wa boda boda ili wajitokeze kwenye maandamano ya kupinga ziara ya dr slaa.
NITAWALETEA HABARI ZAIDI.
NITAWALETEA HABARI ZAIDI.