hip hop uchwara
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 5,231
- 3,155
Mm sjawahi ielewa Du salaam yale maisha ya kugombania kila kitu sio wazee wala vijana
Kilimo ni kamariHodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,
Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.
Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.
Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.
Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
Safi sana 👏👏👏👏👏👏Kila mtu na malengo yake
Dar vijana wengi wanapoteza muda sana wakija kushtuka umri umeenda!...akiwa na kigeto na friji basi maana bia za bure dar zipo sana!...Hodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,
Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.
Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.
Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.
Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
Sasa kuna vijiji hata hicho chumba tu cha kupanga hupati! Bei za vitu vidogoo kama viberiti/chumvi zipo juu! Huduma muhimu za jamii hakuna! Vyakula hakuna, vikiwepo ni aina moja tu mnagombania kijiji kizima! Ulevi wa pombe ni vijana wote kijiji kizima tena mnalewa na kuongea kilugha kabisa! Hiyo tv ya 32' na sabufa ya sundar unaikuta kwa mwenyekiti wa kijiji au mwalimu mkuu tu, yaani hao ndio madon wa kijiji. Huduma zinatolewa kwa kujuana.. Hapana tutang'ang'ana mjini mwanzo mwisho!



Ukie da Kijijini kwa mtu ulie kaa dar lazima utaona fulsa labda kama utakua kijana wa ovyo na ukipambana lazima utoke lakini hapa vijana wengi hawajajipata wapo wapo tu wachache ndo wamejipataVijana wote vijijini wamepambana na wametoboa? Hawahawa ambao tukishuka stendi kuwasalimia wazazi na bibi zetu wanaitana na kupigiana simu kujulishana.
Hawahawa ambao msimu wa sikukuu ndio wanafurahia maana wageni kutoka Dar ndio watakuja kukarabati nyumba za wazazi wao, kujenga, kununua mifugo yao kuchinja na kuongeza mzunguko wa hela?
Meanwhile hapa Dar kuna stendi ya Magufuli inamwaga makumi ya maelfu jijini kila siku lini uliwahi sikia watu wa Dar wanashangilia kwamba watu wa Kinampanda ya Singida wamekuja.
Mnavyosema vijijini watu wana hela utadhani Dar nzima maskini, kwa taarifa yenu kila mtaa wa Dar una angalau billionaire mmoja labda nje ya mji ambapo mtaa hauna kaya hata 50. Hakuna mtaa Dar unakosa walau jengo la thamani ya 200M, uko Kinyala, Mbeya nako ni hivyo.
Dar inalipa kodi kama 80% ya nchi nzima, Dar ina 10% ya population ya nchi nzima wakati inazidiwa ukubwa na wilaya kibao za mikoa. Yaani tuondoke mkoa unaolipa zaidi ya trilioni 11 kwa mwaka kama kodi, tuje Katavi mkoa ambao hata bilioni 10 kwa mwaka haifikishi?
Huko kabanga ndio naambiwa ni kitovu cha parachichi mzee?Aikoooooooo! wa taarifa yako waliopo dar ni Staff wa JF tu wengine tupo live mikoani, karibu Kabanga, Ngara 🤣
Nimeingia Njombe Jana Usiku nikitokea huko "mikoani". Nitakuwepo kwa siku kadhaa kwa shughuli fulani ya kikazi.umeongea jambo la maana sana na la msingi mno 🐒
jamaa mwaka wa 14 kang'ag'ana dar kazini mshahara la5 kwanza kabisaa haumtoshi, kodi kachumba kamoja kadogo kichizi, hawez nunua kiwanja wala boda boda akati vijana wadogo tu kijijini kwa kilimo na biashara wana mijumba na mahekalu ya hatari huko kijijini ana watoto wa kuzaa kama wote 🐒
town ni kupigwa jua tu na kujipoaza na kahawa baadae jioni 🐒
🤣🤣🤣🤣 kabisa unashangaa umepewa maneno makali mno!Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
👊 for sure kua tajiri au maskini ni uchaguzi na uamuzi wa mtu tu, fursa zipo nyingi na zipo wazi kabisaaaa kama ivo yaani 🐒Nimeingia Njombe Jana Usiku nikitokea huko "mikoani". Nitakuwepo kwa siku kadhaa kwa shughuli fulani ya kikazi.
Leo nimepata nafasi ya kutembelea maeneo kadhaa yanakolimwa maparachichi. Nilijikuta nahisi kama nataka kulia, si kwa huzuni, bali furaha. Hii nchi imebarikiwa sana. Hali ya hewa ni nzuri sana kwa kilimo. Nimekutana na watu kadhaa wanafanya kilimo cha parachichi, wengine ni mamilionea wanaolekea kuwa mabilionea.
Jamani nchi hii ina utajiri mkubwa sana.
Inawezekana kuwa bilionea Tanzania.
Hii nchi ni tajiri mno. Ukijipanga vizuri, na ukaamua kuwekeza kwenye kilimo biashara, ni suala la muda tu, unajikita umeshakuwa bilionea.
Nitaondoka Njombe hivi karibuni, lakini nitarudi tena. Ni sehemu sahihi kuwekeza kilimo cha parachichi.
Nimefika maeneo mengi Tanzania. Ni mikoa miwili tu, Lindi na Mtwara ndiyo bado sijatia miguu yangu. Huenda nikaenda huko wiki ijayo.👊 for sure kua tajiri au maskini ni uchaguzi na uamuzi wa mtu tu, fursa zipo nyingi na zipo wazi kabisaaaa kama ivo yaani 🐒
Mkuu, unazungumza nami?Hayo magunia utawaona wenzio wakivuna tu.kalime wewe uone
Kila la kheriMkuu, unazungumza nami?
Sijayaona magunia, nimeyaona matokea ya yanayofanyika Njombe kwenye kilimo cha parachichi. Kwa sababu hiyo basi, na mimi nitawekeza, siyo kwa ajili ya kuyaona magunia, bali kupata matokea mazuri.
Nitalima, na nikianza kuvuna, nayapaki kwenye vifungashio stahiki na kuyasafirisha kwenda "ng'ambo"
Nitayanunua pia na kuyafanyia packaging kabla ya kuyaexport.
Mkuu, wewe hutaki kuwa bilionea?
Fursa za ubilionea zipo nyingi sana Tanzania.
Tembea ukifikiri, utaligundua hilo.