feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,529
- 17,198
Mimi nimezaliwa Dar na kukulia DSM maisha yangu yapo hapa japo kuna muda niliwahi kutoka nje ya mkoa ila mpaka sasa hakuna mkoa unaosegelea DSM kwa fursa. Pia ukiishi DSM una asilimia zaidi ya 70 kufaulu tofauti na mikoani ambapo ili angalau uingize elfu 10 tu kwa siku utamenyeka vibaya sana. Ukishindwa kufanikiwa DSM basi jua mikoani ni unaenda kucheza bahati nasibu labda uwe umezaliwa huko.Sehemu kubwa ya mada yako umeishia kuponda Dar badala ya kueleza hizo fursa unasema vijana wanavuna mahindi!
Nimewahi kuishi mikoa hii
1.Songea
2.Mtwara
3.Iringa
4.Njombe
5.Mbeya
