Ibrahim Traore ni kijana hodari aliyechukua madaraka ya nchi ya Burkina Faso mwaka 2022 akiwa na umri wa miaka 35 tu.
Traore ni mfano wa vijana wachache hodari wa bara la Africa.
Vijana ndio tulipaswa kuwa tunakula matunda ya nchi na sio akina mzee Wassira.
Badala ya vijana wengi wa kitanzania kujikita kwenye kubeti na kufuatilia habari za vilabu vya Ulaya, ingekuwa vyema wakajihusisha na ukombozi wa Tanzania kutoka kwa viongozi walafi wa madaraka.
CCM ni balaa kubwa nchi hii.
Traore ni mfano wa vijana wachache hodari wa bara la Africa.
Vijana ndio tulipaswa kuwa tunakula matunda ya nchi na sio akina mzee Wassira.
Badala ya vijana wengi wa kitanzania kujikita kwenye kubeti na kufuatilia habari za vilabu vya Ulaya, ingekuwa vyema wakajihusisha na ukombozi wa Tanzania kutoka kwa viongozi walafi wa madaraka.
CCM ni balaa kubwa nchi hii.