Japo simuungi mkono mleta mada kwa 100%, kuna huu upuuzi kwenye ndoa mkitofautiana tu mke anakimbilia ustawi wa jamii, huko wanakupangia kila mwezi uwe unatoa KIASI kadhaa kwa kila mtoto.
HUU NI UPUUZI MKUBWA SANA KWA HAWA DADA ZETU. Yaani swala la kuoa kwa miaka hii ni la kufikiria mara 2 2, na usiombe mke wako akapata "WAALIMU wa KUM-PUMP"