Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,210
- 40,652
Daah baadhi ya mambo Si ya kukurupuka kabisa kuyafanya....... inawezekana wapo huko wanaita sijui dasalama wanabadilisha tu vijiwe Sinza,Tabata,KinondoniHiyo picha imenifikirisha mengi,huenda mama/baba zao wanakula bata mjini huko,dooh wazee wapunguziwe mizigo isiyo na ulazima jamani .
Kuna tabia mbaya sana imeibuka siku hizii vijana wa mjini kuzaa au kuzalisha alafu Watoto wanawapeleka kwa Bibi akawalelee, Ubaya haya hela za matumizi hawatumi watoto wanaishia kuzagaa mitaani na kuvizia chakula kwa watu akati Baba na mama zao wanapiga umalaya tu na kulewa mjini huku.
Kondomu zimejaa telee huwezi kumuhudumia mtoto ebu jitahidi usimlete dunia na kuanza kuwapa tabu bibi na babu wamekulea wewe kwa shida bado upeleke na wajukuu tena wawalelee?? Huku ni kujitafutia laana pia wazee wamechoka acha wapumzikw kama huwezi kuwa faraja kwao kwa kuwahudumia bhasi at least usiwape Mzigo wasiostahili kuubeba mwisho wakafa mapema kwa shida na mawazo.
Imeishaa hiyo TUBADILIKE.View attachment 1218140
Sawa mama ushauriEeeehkumbe huwa mnaficha???? Ni kosa kubwa sana tena sanaaaaaaaa
Na ninakushauri ukimpenda mdada mueleze ukweli ajiandae kiakili kuliko kumficha then umwambie ukimuoa my dear huyo mtoto hatompenda hata iweje na wewe utakuwa na mtihani kwa kudanganya
Asee, mjini full usister duu,kumbe tumetelekeza watoto Kwa bibi zao,not good kabisaDaah baadhi ya mambo Si ya kukurupuka kabisa kuyafanya....... inawezekana wapo huko wanaita sijui dasalama wanabadilisha tu vijiwe Sinza,Tabata,Kinondoni
AbsolutelyI think people should take responsibilities of choices they make.
Kama waweza ongeza volume we ongeza tuVolume inatosha kabisa
Si sawa kabisaAsee, mjini full usister duu,kumbe tumetelekeza watoto Kwa bibi zao,not good kabisa
Pamoja boss...!! Tabia inazidi kuota mizizi inaonekana ni kawaida sasaMkuu hongera sana kwa kulizungumza hili. Kiukweli ni changamoto sana kwa hawa wazee wetu halafu unakuta fara yupo mjini anjiita baharia while hata kutunza watoto shida. Kiujumla boss naunga mkono hoja. Ubarikiwe sana
Kabisa mkuu ila kutumbukiza hawaogopi
Ndo hivyo wamemuachia bibi aleee
Nilishawahi kugombana na Best yangu kwa sababu ya mtoto,
Yeye na Bwana ake wanakaa Dar mtoto yupo Ileje kwa bibi,Bibi mwenyewe anahitaji kusaidiwa
Namuuliza sababu ya kutokaa na mtoto wanasema watashindwa kutafuta hela,
Nikamuuliza na kama bibi asingekuwepo je ! Anasema angekaa nae !!
Mwisho wamemchukua mtoto hata kiswahili hafahamu!
Hapo kama Iringa, Njombe au Mafinga maana udongo kama wa huko
I will do,shall do madam!😁Aisee, hujui ni kiasi gani nimehangaika kuipata ile picha....yaani nimeitafuta mnoo, kama unajua sehemu ninayoweza kuipata naomba unisaidie