Vijana poleni sana!

Vijana poleni sana!

Hizi kauli za kuwataka vijana wajiajiri zimekuwa nyingi mno
Alianza Mizengo Pinda
Ajaja Doto James
Na jana Ndugai.

Wote hawa hawajawahi kujiajiri. Lkn wanawataka vijana wakajiajiri.

Kujiajiri pekee labda wawe wanaharakati yakiwachoma wanafatwa wanaungwa juhudi wanafika bei Kama covid 19 wanapata mitaji wanafanya biashara zao
 
V8 moja ni sawa na trekta 10 mpya horse 75 na majembe yake yote trekta moja unalima heka 25 kwa siku.Soko la dunia la mazao lipo tele.Hapa vijana wangapi wamepata ajira.
Tuendelee kuwalaumu mabeberu juu ya kushindwa kwetu
Kwa comment yako nimebaki nimeweka mikono kichwani nasikitika....wanasiasa wetu hawa roho zao hata Ibilisi anawakana
 
Kwa comment yako nimebaki nimeweka mikono kichwani nasikitika....wanasiasa wetu hawa roho zao hata Ibilisi anawakana
Umasikini unaletwa na wanasiasa,coz why wakoloni wao walituletea maendeleo kwa mda mfupi kwa mazingira haya haya ambayo hakuna kilichobadilika kuhusu raslimali zetu
 
Huu ushauri ni mzuri lakini yeye kama speaker aishauri serikali kutunga sera nzuri ktk uchumi, elimu nk ili kuandaa mazingira rafiki kwa vijana kujiajiri, sio "kufanya kazi ya kuabudu tu" mule bungeni.
 
Back
Top Bottom