Vijana oeni mapema

Vijana oeni mapema

Watu wengine bana.. Wamekaa kuwavuluga vjana tu acha vjana wajpange.. Kama ww ulingia kwenye ndoa kwa ajili ya sex kausha
 
Acha kula wali na pombe nyingi,fanya mazoezi daily hasa kukimbia,pushup na plank kwa sana! Kapime pia tenzi dume
 
Miaka 40 kimuonekano kama nina 27 kwenye kitanda kama ndyo nimebarehe , ushauri wangu usijijutie fanya mazoezi kula vizuri ,utaleta mrejesho kumbuka Usher ana umri sawa na Kikwete
 
Hahahahahaa sikucheki ila nimekumbuka hekaheka za Baba Belinda....

Tumepishana miaka 5, yeye akiwa na miaka 55 mimi nilikuwa na miaka 50.

Tulichukua likizo ya mwezi mmoja, aiseeh tulipampuana siku nzima.

Siri kubwa kati yetu ni mazoezi na lishe bora, Ila pia bado tuna mahaba kila mmoja wetu bado anamhitaji mwenzie kimwili, kihisia na kilakitu.

Achana na madawa ya kuongeza nguvu ni danganya toto hiyo.

Kasie mpenda Mahaba.
Umeolewa? Au ndo unadanga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuoa kwangu ni dhambi ambayo siji irudia baada ya kuachana na mke wangu wa ndoa wa ujana wangu, niliomba toba kwa hiyo dhambi ya kuoa na siji rudia tena kumkosea Mungu kwa kuoa. Nalea tu wanangu
 
Kuoa kwangu ni dhambi ambayo siji irudia baada ya kuachana na mke wangu wa ndoa wa ujana wangu, niliomba toba kwa hiyo dhambi ya kuoa na siji rudia tena kumkosea Mungu kwa kuoa. Nalea tu wanangu

Nani anakutunzia kitwangio ili kisifubae na kupungua makali??
 
My Two Law Of Marriage

1) I can't get marriage before my economic status stabalize atleast to have 2 sources of income.

2) I must engage in marriage before reaching my 29, 28 is maximum age...now am 25.
 
Mkuu katika comment zote we ndio umelenga penyewe. Hili ndio kubwa linalomsumbua mleta mada. Hata ufanye nini, ukishaishi na mwanamke miaka 10+ na watoto wanne umemzalisha, ni ngumu mnoooo kupiga hata kimoja tuu achilia mbali kurudia. We mleta mada ukitaka kujua kama uko fiti au laa, hebu siku moja tafuta kabinti kazuri ka miaka kati ya 20 -23 hivi, kawe maji ya kunde sio keupe, na kashepu ka wastani, yaani kawe na vinyama nyama, kalaini laini hivi.. Jifungie nako mahali siku mbili halafu uje hapa ulete mrejesho..!
😂😂
 
Wapo ila siwaamini tena, wanapita tu nikiwachoka
Duuuh Pole Sana Kaka Wasukuma wanaita PTSD....

Alikuumiza Sanaa...Bado Inakutafuna....Pole Mkubwa!!

Kwa Hyo Umekuwa Chapa Ilale?!

Vp haitawaathiri Kids?!!
 
Duuuh Pole Sana Kaka Wasukuma wanaita PTSD....

Alikuumiza Sanaa...Bado Inakutafuna....Pole Mkubwa!!

Kwa Hyo Umekuwa Chapa Ilale?!

Vp haitawaathiri Kids?!!
Hamna, kawaida tu! sioi ili nilee watoto kwanza wakue na sidhani kuoa
 
Back
Top Bottom