Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
Limeibuka kundi la watoto ambao wanakaa kwenye traffic lights na kuvizia magari then wanaosha vioo (wind screens) bila hata kumuomba dereva kufanya hivyo. Then wanaomba uwape hela ya kula. ukikataa na ukawa hujafunga vioo, unaipata habari yako...
Hebu wanasiasa na waheshimiwa wa wizara ya kazi na vijana. hebu jaribuni kufikiria miaka kumi ijayo hawa vijana watakuwa wakina nani hapa nchini????????
Hebu wanasiasa na waheshimiwa wa wizara ya kazi na vijana. hebu jaribuni kufikiria miaka kumi ijayo hawa vijana watakuwa wakina nani hapa nchini????????