Tegemeo Sambili
New Member
- Oct 29, 2013
- 4
- 5
Wapo Vijana Wachache sana Wenye Matumaini Makubwa na Chadema,Wanaamini Kabisa ya Kwamba Kama Chadema Ikichukuwa Nchi,Watanzania Tunaweza Kuishi Kama Marekani au Ulaya Magharibi, Wanaamini Hakutakuwa na Njaa wala shida,Wanaamini Ajira Zitakuwa Nyingi Kama Mchanga wa Bahari,Kutakuwa na Barabara Sitasita Juu na Chini,Wanaamini Tanzania Nzima Inaweza Ikapigwa Cement Hivyo Watanzania Kutokanyaga Vumbi wala Matope,Wanaamini Chadema ndio Chama Pekee Kinachoweza Kupambana na Ufisadi na Ukiukwaji wa Democrasia ndani ya Nchi Hii.Wanaamini Chadema Inawapenda sana Vijana Kuliko CCM na Vyama Vingine vya Upinzani.
Wanaamini Kabisa Kama Chadema Ikipewa Dolla Basi Tutashuhudia Kasi Kubwa ya Maendeleo,Uboreshwaji wa Elimu,Hospitari,Miundo Mbinu ya Maji,Barabara,Reli,Viwanja vya Ndege,Makazi.
Lakini Kabla ya Kuwaunga Mkono Chadema ni Vema Tutafakari Baadhi ya Mambo ya Msingi 1. 1. Hivi ni kwa Kiasi Gani Democrasia Imekuwa na kukomaa ndani ya Chadema?
Maana Kama Zitto Kabwe Anataka Kugombea Uenyekiti,Anaitwa MUHAINI,MSALITI,Anaonekana ni kikwazo cha Maendeleo ya Chadema….na Baadhi ya Viongozi kama Said Arfi,Dr Kitila Mkumbo…Wanalalamika Chadema Kuchaguliwa Viongozi na Mzee Edwin Mtei.
Hivi ni Maendeleo yapi Yamefanywa na Chadema,Ndani ya Chadema Kama Taasisi na Tanzania Kama Nchi yetu Sote?
Maana Chadema Ina Miaka 21 sasa Tangu Kuanziswa Kwake 1993,Licha ya Ruzuku Kubwa na Misaada Lukuki Inayopata Chadema, Viongozi wa Chadema Wameshindwa Kujenga Hata Ofisi ya Makao Makuu ya Chama Chao.Sasa Watawezaje Kuiletea Tanzania Maendeleo?
Chadema Haijawahi Kutoa Hata Msaada wa Madawati kwenye Shule zetu za Kata,Wao Wamekalia Kulalamika na Kushinikiza Kuing'oa CCM Madarakani. 3. 3.Hivi ni Upendo Upi Chadema IInao kwa Vijana Hata Tuiamini na Kuiunga Mkono?
Maana Chadema Haina Utofauti na Wilaya Mpya(Wilaya Isio na Ofisi,Watu wachache sana…😉,Vijana Wanapewa Nafasi za Kugombea Ubunge ndani ya Chadema kwa Sababu Nafasi Hizo Zipo Wazi,Bado Chama Hakina Wanachama wengi, Nafasi nyingi za Kugombea Zipo wazi Kutokana na Uchanga wa Chama Chenyewe.
Lakini na Uchanga Kilionao Tunashuhudia Baadhi ya Viongozi Waking'ang'ania Madaraka,Je Kama Chadema Ikikomaao na Kuwa Kama Ilivyo CCM Kutakuwa na Nafasi ya Vijana Tena??Maana Vijana Kama Zitto Kabwe Wanaotaka Kugombea Uenyekiti Wanaitwa WAHAINI, WASALITI.
Acha Niiunge Mkono CCM,Maana WAMETHUBUTU.
Ng'ara CCM Ng'araaa.
Wanaamini Kabisa Kama Chadema Ikipewa Dolla Basi Tutashuhudia Kasi Kubwa ya Maendeleo,Uboreshwaji wa Elimu,Hospitari,Miundo Mbinu ya Maji,Barabara,Reli,Viwanja vya Ndege,Makazi.
Lakini Kabla ya Kuwaunga Mkono Chadema ni Vema Tutafakari Baadhi ya Mambo ya Msingi 1. 1. Hivi ni kwa Kiasi Gani Democrasia Imekuwa na kukomaa ndani ya Chadema?
Maana Kama Zitto Kabwe Anataka Kugombea Uenyekiti,Anaitwa MUHAINI,MSALITI,Anaonekana ni kikwazo cha Maendeleo ya Chadema….na Baadhi ya Viongozi kama Said Arfi,Dr Kitila Mkumbo…Wanalalamika Chadema Kuchaguliwa Viongozi na Mzee Edwin Mtei.
Hivi ni Maendeleo yapi Yamefanywa na Chadema,Ndani ya Chadema Kama Taasisi na Tanzania Kama Nchi yetu Sote?
Maana Chadema Ina Miaka 21 sasa Tangu Kuanziswa Kwake 1993,Licha ya Ruzuku Kubwa na Misaada Lukuki Inayopata Chadema, Viongozi wa Chadema Wameshindwa Kujenga Hata Ofisi ya Makao Makuu ya Chama Chao.Sasa Watawezaje Kuiletea Tanzania Maendeleo?
Chadema Haijawahi Kutoa Hata Msaada wa Madawati kwenye Shule zetu za Kata,Wao Wamekalia Kulalamika na Kushinikiza Kuing'oa CCM Madarakani. 3. 3.Hivi ni Upendo Upi Chadema IInao kwa Vijana Hata Tuiamini na Kuiunga Mkono?
Maana Chadema Haina Utofauti na Wilaya Mpya(Wilaya Isio na Ofisi,Watu wachache sana…😉,Vijana Wanapewa Nafasi za Kugombea Ubunge ndani ya Chadema kwa Sababu Nafasi Hizo Zipo Wazi,Bado Chama Hakina Wanachama wengi, Nafasi nyingi za Kugombea Zipo wazi Kutokana na Uchanga wa Chama Chenyewe.
Lakini na Uchanga Kilionao Tunashuhudia Baadhi ya Viongozi Waking'ang'ania Madaraka,Je Kama Chadema Ikikomaao na Kuwa Kama Ilivyo CCM Kutakuwa na Nafasi ya Vijana Tena??Maana Vijana Kama Zitto Kabwe Wanaotaka Kugombea Uenyekiti Wanaitwa WAHAINI, WASALITI.
Acha Niiunge Mkono CCM,Maana WAMETHUBUTU.
Ng'ara CCM Ng'araaa.