dah... mkuu hapo inaonyesha jinsi vijana walivyokuwa hatari! wote mafoward uwanjani, demu anaona miaka inakimbia, jamaa full msanii! solution ni moja 2,mimba = harusi. ndio maana baada ya miaka mitatu wanaachana wanarudi kuongeza idadi ya waasherati mtaani na watoto wanaolelewa na mzazi mmoja!