Wazee wengi wamekuwa na kauli za kuona kuwa vijana tumepotoka, hawana mwelekeo na juhudi kama walizo kuwa nazo.Wanaona vijana hatufai kuongoza taifa, hatuna weledi na nidhamu ya uongozi kama walivyo wao. Lakini ukweli ni tofauti.
Sisi ndio tunaojituma na kujikwamua kiuchumi kielimu na kifikra kuliko wao katika zama zao.
Sis tunahakikisha familia zinakula milo mitatu wakati wazee walijipa umwinyi kwa kuleta mlo mmoja nyumbani tena usio na viwango.
Kwenye familia nyingi sisi ndio tunaosomesha wadogo zao kazi ambayo ilipaswa kufanywa na wazazi(wazee) lakini bado wanatuona wavivu.
Ni wazee wangapi wanajengewa nyumba na vijana wao, Je wao waliwajengea wazazi wao? Katika ujana wao walishindwa lakini bado wanatuona vijana ni wavivu.
Ni wazee wangapi kila siku tunawasikia kwenye dili za upigaji rasilimali za Taifa, lakini bado vijana tunalaumiwa kwa kutokuwa wazalendo.
Vijana wa sasa ndio wanafanya uchumi wa taifa ukue kwa kasi, ndio wanaopambana mpaka usiku wa manane kurekebisha maisha mabovu waliyorithishwa na wazee wazalendo.
Vijana tusikatishwe tamaa juhudi zetu ni kubwa kuliko zao, uzalendo wetu na weledi wetu ni mkubwa kuliko wao.
Tupambane watoto wetu wasiishi maisha mabovu kama yetu.
Sisi ndio tunaojituma na kujikwamua kiuchumi kielimu na kifikra kuliko wao katika zama zao.
Sis tunahakikisha familia zinakula milo mitatu wakati wazee walijipa umwinyi kwa kuleta mlo mmoja nyumbani tena usio na viwango.
Kwenye familia nyingi sisi ndio tunaosomesha wadogo zao kazi ambayo ilipaswa kufanywa na wazazi(wazee) lakini bado wanatuona wavivu.
Ni wazee wangapi wanajengewa nyumba na vijana wao, Je wao waliwajengea wazazi wao? Katika ujana wao walishindwa lakini bado wanatuona vijana ni wavivu.
Ni wazee wangapi kila siku tunawasikia kwenye dili za upigaji rasilimali za Taifa, lakini bado vijana tunalaumiwa kwa kutokuwa wazalendo.
Vijana wa sasa ndio wanafanya uchumi wa taifa ukue kwa kasi, ndio wanaopambana mpaka usiku wa manane kurekebisha maisha mabovu waliyorithishwa na wazee wazalendo.
Vijana tusikatishwe tamaa juhudi zetu ni kubwa kuliko zao, uzalendo wetu na weledi wetu ni mkubwa kuliko wao.
Tupambane watoto wetu wasiishi maisha mabovu kama yetu.