Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,616
Kijana umeshajiajiri?
bado ila soon naanza
Kijana umeshajiajiri?
Kumbe unaongea kujiajiri kwa kwenye pdfbado ila soon naanza
Kumbe unaongea kujiajiri kwa kwenye pdf
Basi tulia hivo hivo,you know nothing about this big boys/girls gameeeeee
Basi tulia hivo hivo,you know nothing about this big boys/girls game
Mhhh. Sawa mimi napita tu.we nae hebu niache
Well hivyo vyote hutoviona kama unapenda unachokifanya.(kujiajiri ) huo mziki ni balaa wengi Huwa wanalishana matango pori tu wakidhani kuwa kujiajiri ni kazi rahisi ..yaani hakuna issue yenye challenge kama hiyo kwanza itakupasa wakati unaanzisha biaaharayalo au kampuni yako uipiganie mpaka ikue ..mpaka ifikie hatua ya kujiendesha yenyewe na kuyaendesha maisha yako aisee ni kazi kubwa sana you need to pull Up your socks.. Yaani yakupasa ujiandae kuvuja machozi jasho na damu ..uinvest vyema haswaa katika muda ..na ujiandae kuwa unakosa usingizi kwaajili ya stress ndio utakuja kuyapata mafanikio na kuitwa boss
Upo sahihi pia mkuu. Watu wafanye ujasiriamali katika mambo wanayoyapenda.Well hivyo vyote hutoviona kama unapenda unachokifanya.
Sawa kakaNimesoma heading tu, ni kweli
Hakika mkuuNaona kuajiriwa ni utunwa wa hiari, kujiajiri ni kujitumikia mwenyewe. Unakuwa na amani rohoni ukiwa na kazi yako mwenyewe ila uwe na nidhamu ya hali ya juu ya pesa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujiajiri ni kuamua kuishi kwenye nje ya comfort zone ni maisha mazuri Ila yanahitaji trick sababu maarifa yako na nguvu Zako zitakazokutoaSijui na wala sihitaji kujua.
Kujiajiri ni kuamua kuishi kwenye nje ya comfort zone ni maisha mazuri Ila yanahitaji trick sababu maarifa yako na nguvu Zako zitakazokutoa wengi kujiajiri kumewashinda wameamua kurudi kwenye kuajiriwaSijui na wala sihitaji kujua.
Sawa mkuuKujiajiri ni kuamua kuishi kwenye nje ya comfort zone ni maisha mazuri Ila yanahitaji trick sababu maarifa yako na nguvu Zako zitakazokutoa
wengi kujiajiri kumewashinda wameamua kurudi kwenye kuajiriwaSawa mkuu
Making a long story short ni kwamba "uwe na roho ya ujasiri kama Rais Putin"wengi kujiajiri kumewashinda wameamua kurudi kwenye kuajiriwa
Kujiajiri inahitaji uwe ruthless na stinginess