Vijana mnakwama wapi?

Vijana mnakwama wapi?

Acha kuwalaumu vijana kiasi hicho, hata wewe kumbuka kuna watu wanakuona una zingua ila tu wanakustahi/wanakuwa waelewa kwani lawama hazisaidii.

Note: Jifunze kuelewa hali na tabia za watu wa rika tofauti tofauti ndani ya nyakati tofauti. Kunyooshea kidole mapungufu ya rika fulani/mtu fulani hakukufanyi uonekane wewe uko perfect.

Wewe hutowasaidia hao vijana ila tupo tutakao wasaidia kwasababu tunaelewa hali halisi ya hawa vijana wetu.

Acheni complications za ajabu ajabu!
Siyo kwamba wanadharauliwa bali kutokana na kwamba huo uandishi unachukuliwa kuwa ni wa kihuni na wanaoutumia huwa wanaonekana ni wahuni fulani hivi ambao wanaweza kuleta uhuni hata kwenye kazi hivyo mtu anakuwa anawaza sana kukabidhi kazi kwa watu wa namna hiyo
 
Hii ndio ilinipata majuzi kati kuna bonge job nawatonya vijana wachangamkie naanza kupata sms zao " oyo bloo nimckia kuja kijob au nini mzee wangu nipigishie msele basi nipate pa kujibanza au vp bloo ' hapo mtu ana degree ya computer science
Hahahaaa
 
Unakuta kijana anakupigia simu kuomba kazi au msaada fulani. Simu yake inakatika baada ya dakika moja kabla hamjamaliza kuzungumza. Anakutumia ujumbe, "Aisee dakika zimeisha, nitumie namba ya Tigo!". Nani atakuajiri kwa usawa huo?

Au mwingine alikupigia mmezungumza mara moja kuhusu fursa fulani ambayo unaweza kumsaidia au kufanya pamoja, baadae akiwa anakupa mrejesho anaanza kukutumia SMS akitumia lugha kama anazungumza na mshkaji wake tu.

Kwa nini vijana wanachukulia mambo simple sana bila umakini? Halafu mkipigwa chini kwenye interviews na michongo ya pesa mnalalamika hampewi ajira na fursa.
Hahahahah..! Yame nikutakie haya mambo, huwa nawapotezea wakinizoea km kachaa mwenzao..
 
Unakuta kijana anakupigia simu kuomba kazi au msaada fulani. Simu yake inakatika baada ya dakika moja kabla hamjamaliza kuzungumza. Anakutumia ujumbe, "Aisee dakika zimeisha, nitumie namba ya Tigo!". Nani atakuajiri kwa usawa huo?

Au mwingine alikupigia mmezungumza mara moja kuhusu fursa fulani ambayo unaweza kumsaidia au kufanya pamoja, baadae akiwa anakupa mrejesho anaanza kukutumia SMS akitumia lugha kama anazungumza na mshkaji wake tu.

Kwa nini vijana wanachukulia mambo simple sana bila umakini? Halafu mkipigwa chini kwenye interviews na michongo ya pesa mnalalamika hampewi ajira na fursa.
Kijana anahitaji muongozo Mkuu…. wakati mwingine fanya kumpigia atakukumbuka kwa wema wako
 
Eh wewe hebu niache nimekwambia sinaga mazoea wala matani na wanaume wanaodhalilisha na wanaodharau wanawake bora hata mtu kama Cole Williams ndiyo angekuwa ananiambia maneno kama hayo ningekuwa namjibu vizuri ila siyo wewe ptuu chefuu hivi hata haujishitukii? Mxiieeww hebu nikome bwana!
Unalala sebuleni leo mpenzi. Mbona huji ndani ?
 
Kama una nia ya kumsaidia, utamsaidia. Kama huna nia, hautamsaidia hata akupigie simu mara 100.

Itakua kila ukipigiwa unajibu, nipigie baadae, hadi mtu anakata tamaa.
 
Eh wewe hebu niache nimekwambia sinaga mazoea wala matani na wanaume wanaodhalilisha na wanaodharau wanawake bora hata mtu kama Cole Williams ndiyo angekuwa ananiambia maneno kama hayo ningekuwa namjibu vizuri ila siyo wewe ptuu chefuu hivi hata haujishitukii? Mxiieeww hebu nikome bwana!
Wapi uko mpenzi umeniona nikidhalilisha / nikidharau wanawake ?
 
Back
Top Bottom