Vijana mnakwama wapi?

Vijana mnakwama wapi?

Hii ndio ilinipata majuzi kati kuna bonge job nawatonya vijana wachangamkie naanza kupata sms zao " oyo bloo nimckia kuja kijob au nini mzee wangu nipigishie msele basi nipate pa kujibanza au vp bloo ' hapo mtu ana degree ya computer science
Was the job computer science related?
 
Halafu uandishi wao sasa,."xamahani c* una nmbar ya tigo" "ctoweza kuja nimecherewa uxafili" jumbe za namna hiyo huwa sipotezi muda wangu kujibu,na huyo ndio msomi wa chuo kikuu...mfyuuu!!!
Mother Confessor.. Daaah!! Haujadanganya. Watu tuna wadogo zetu University graduates.. Unakuta maneno kama uxafil "usafiri", uncle nirikuwa tu nakuxarimia, nitajilekebisha, kuangaria, leading "reading".... mtu unaona aibu kuwaunganisha na maboss cz this is a very close reflection of their understanding and attitude which is a true reflection of their performances.
 
Hii ndio ilinipata majuzi kati kuna bonge job nawatonya vijana wachangamkie naanza kupata sms zao " oyo bloo nimckia kuja kijob au nini mzee wangu nipigishie msele basi nipate pa kujibanza au vp bloo ' hapo mtu ana degree ya computer science

Dah....lazima ulipata kiungulia
 
Hii ndio ilinipata majuzi kati kuna bonge job nawatonya vijana wachangamkie naanza kupata sms zao " oyo bloo nimckia kuja kijob au nini mzee wangu nipigishie msele basi nipate pa kujibanza au vp bloo ' hapo mtu ana degree ya computer science
Bloo ahahahahahah
 
Hahahaa, we jamaa umenichekesha balaa!
Hii ndio ilinipata majuzi kati kuna bonge job nawatonya vijana wachangamkie naanza kupata sms zao " oyo bloo nimckia kuja kijob au nini mzee wangu nipigishie msele basi nipate pa kujibanza au vp bloo ' hapo mtu ana degree ya computer science
 
aaaaaaaah....mkuu umejaza Inzi kwenye Uzi...
Halafu uandishi wao sasa,."xamahani c* una nmbar ya tigo" "ctoweza kuja nimecherewa uxafili" jumbe za namna hiyo huwa sipotezi muda wangu kujibu,na huyo ndio msomi wa chuo kikuu...mfyuuu!!!
 
Kwaio we ulitala akutumie Code au Nn?..
Hii ndio ilinipata majuzi kati kuna bonge job nawatonya vijana wachangamkie naanza kupata sms zao " oyo bloo nimckia kuja kijob au nini mzee wangu nipigishie msele basi nipate pa kujibanza au vp bloo ' hapo mtu ana degree ya computer science
 
Buana...!!
Chamuimu..!!

Hivi ndio unasingiziwa..?
Kiswahili fasaha kwani tunaandika vitabu apa


Mchukue mtu uone ana material gani sio kukosoa uandishii

Wengine tumesoma mavitu hata kwa kiswahili hayatafsiriki alaf unataka niandike kiswahili fasaha kwani ni fasihi andishi hii
 
Kiswahili fasaha kwani tunaandika vitabu apa


Mchukue mtu uone ana material gani sio kukosoa uandishii

Wengine tumesoma mavitu hata kwa kiswahili hayatafsiriki alaf unataka niandike kiswahili fasaha kwani ni fasihi andishi hii
Kwenu wasomi wa Kiingereza.. unaandikaje "leading" badala ya "reading"? CV inasomeka fluent in both leading, writting and speaking..
 
Back
Top Bottom