ChingaMzalendo
Senior Member
- Nov 9, 2008
- 192
- 3
Kila siku tunasikia Jina la Zitto Kabwe kuwa ndiye mkombozi wa Tanzania. Wengine Wanasema Zitto Keshanunuliwa, hana kazi tena. Tunaomba Majina ya vijana kumi wenye uwezo wa kuliokoa Taifa ikiwa wanaweza kushirikiana. Najua Mwanakijiji atakuwemo, tunaomba majina kamili ya wale wanaofahamika, na ambao wameonyesha uwezo wa kuweza kudiriki na kuongoza taifa kutoka mikononi mwa mafisadi wanaoongozwa na kikwete
Napendekeza
1. John Mashaka
2. January Makamba
3. Hildebrand Shayo
4. Mwanakijiji
5. John Mnyika
7. Zitto Kabwe
8. Mohammed Dewji
9. Nelson Kaminyoge
10..........
Napendekeza
1. John Mashaka
2. January Makamba
3. Hildebrand Shayo
4. Mwanakijiji
5. John Mnyika
7. Zitto Kabwe
8. Mohammed Dewji
9. Nelson Kaminyoge
10..........