Vijana chukueni mchongo wa soya

Hii nchi tuna mito ya kutosha na ardhi za kutosha ila serikali inashindwa kujenga scheme za umwagiliaji kuwasaidia wakulima kupunguza gharama za kununua petroli na dizeli kwa ajili ya kumwagilia mashamba.

Wakulima wengi hawakopesheki na taasisi za fedha..unategemea watalimaje
 
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.

1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.

Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.

UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7

#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.

2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..

HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana

Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.

Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.

Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.

Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.

Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
Mkuu wewe unalima? au unahamasisha wengine walime ili uje kuwachuuza.
 
Mkuu, ukipata mtendaji(sio wa ofisini) kwenye sekta ya korosho akusimulie hii maneno utachoka maana ni ukweli mchungu. Hakuna juhudi za makusudi kuboresha sekta, siasa nyingi.
Nashukuru kwa unaelewa...
Pamoja sana
 
Hii nchi sio rafiki kwa mkulima labda hao wenye mitaji mikubwa. Unalima kwa tabu ukivuna kuna mtu anaitwa dalali anakuja kukupiga kata funua. Wanachezesha bei anakwenda kufaidika yeye unajuta mpaka unawaza bora ungelima msuba.
Naandika kwa uzoefu wangu niliyokutana nayo front line mimi mwenyewe huko shambani.
 
Hii nchi sio rafiki kwa mkulima labda hao wenye mitaji mikubwa. Unalima kwa tabu ukivuna kuna mtu anaitwa dalali anakuja kukupiga kata funua. Wanachezesha bei anakwenda kufaidika yeye unajuta mpaka unawaza bora ungelima msuba.
Naandika kwa uzoefu wangu niliyokutana nayo front line mimi mwenyewe huko shambani.
Ukiondoa dalali inakuja sirikali inakwambia mwaka huu tunatabiri kutakuwa na baa la njaa Kwaiyo hakuna nafaka kuuzwa nje ya inji ilitujitosheleze kwa chakula, hapo una gunia zako afu tatu za mahindi ghafla unaanza kuambiwa uuze debe afu Sita 😁😁😁
 
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.

1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.

Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.

UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7

#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.

2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..

HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana

Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.

Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.

Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.

Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.

Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.

1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.

Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.

UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7

#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.

2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..

HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana

Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.

Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.

Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.

Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.

Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
Hii imekaa poa sana samahani mkuu unaweza share kidogo jinsi ya kuyafikia hayo masoko ya nje hasa usafiri na vipari vyake
 
Back
Top Bottom