Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 28,339
- 73,693
Acha uoga twenzetu tukalime soyaMkuu isije watu Waka limaz halafu Waka ishia kulishia nguruwe??!
Acha uoga twenzetu tukalime soyaMkuu isije watu Waka limaz halafu Waka ishia kulishia nguruwe??!
Kilijiri nini mkuu?Nenda Handeni uwaulize kuhusu kulima mihogo wakati wa DC Godwe G watakujibu kuwa baada ya kulima mazao yalinunuliwa au vipi halafu ndio uje uongee hapa
Au sito, halafu tuta Kisha tumbili ehh🤔😁Acha uoga twenzetu tukalime soya
Sito ndio nini?Au sito, halafu tuta Kisha tumbili ehh🤔😁
kama uko serious tuwasiliane, tuone tuna fanya vipi kwa ukubwa sahihi.Sito ndio nini?
Mi nataka nigeukie kilimo rasmi kwa nguvu zote.
Sawa tajiri shamba darasa.kama uko serious tuwasiliane, tuone tuna fanya vipi kwa ukubwa sahihi.
Mimi ni jobless pro max 🤒Sawa tajiri shamba darasa.
KalimeMimi ni jobless pro max 🤒
Mkuu, ukipata mtendaji(sio wa ofisini) kwenye sekta ya korosho akusimulie hii maneno utachoka maana ni ukweli mchungu. Hakuna juhudi za makusudi kuboresha sekta, siasa nyingi.Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30
Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.
KWA mwaka 1500x4=Tani 6000
Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.
UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO
Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista
Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Nadhani izo tani niza korosho zilizo banguliwa,Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30
Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.
KWA mwaka 1500x4=Tani 6000
Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.
UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO
Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista
Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Ngwise wanso shibendi nwakoKalime
Ndio lugha gani hiyoNgwise wanso shibendi nwako
Shwani shimbe maganzoNdio lugha gani hiyo
Tani 200,000 zikibanguliwa zinatoa zaidi ya hizo 6000 zilizobanguliwaNadhani izo tani niza korosho zilizo banguliwa,
Muulize vzr uyoo jamaa
Hakuna hasara pia.Mkuu isije watu Waka limaz halafu Waka ishia kulishia nguruwe??!
Hehe...Maana kulima, halafu una ambiwa vibali hakuna.
Huko ni kupotezeana muda, na kutafuta chuki ya wazi
Oya vipi kwani umelanduka ?Shwani shimbe maganzo
Nusu albinoo 😁🤣🤣Oya vipi kwani umelanduka ?