Vijana chukueni mchongo wa soya

Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30

Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.

KWA mwaka 1500x4=Tani 6000

Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.

UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO

Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista


Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Mkuu, ukipata mtendaji(sio wa ofisini) kwenye sekta ya korosho akusimulie hii maneno utachoka maana ni ukweli mchungu. Hakuna juhudi za makusudi kuboresha sekta, siasa nyingi.
 
Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30

Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.

KWA mwaka 1500x4=Tani 6000

Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.

UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO

Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista


Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Nadhani izo tani niza korosho zilizo banguliwa,
Muulize vzr uyoo jamaa
 
Back
Top Bottom