Vijana chukueni mchongo wa soya

Watu walilimishwa mlonge wakatelekezwa



Petroleum Engineering wakaachwa solemba
Tatizo siasa huingizwa katika biashara na pale Iringa kuna mnara wameandika Siasa ni kilimo 🤪
 
Nipe h
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.

1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.

Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.

UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7

#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.

2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..

HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana

Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.

Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.

Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.

Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.

Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.

Nipe hizo connection mkuu soya zinapatikana sana tu na hiyo mihogo pia
 
Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30

Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.

KWA mwaka 1500x4=Tani 6000

Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.

UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO

Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista


Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Nakubaliana na wewe kwa 100%
Lakini bila shaka na kwa uhakika kwa Tanzania haiwezekani....kwanza hivyo vibali tu na leseni utapigwa zengwe mpaka ukate tamaa...siasa na roho mbaya.....
 
Nakubaliana na wewe kwa 100%
Lakini bila shaka na kwa uhakika kwa Tanzania haiwezekani....kwanza hivyo vibali tu na leseni utapigwa zengwe mpaka ukate tamaa...siasa na roho mbaya.....


Sasa hapo ndio umeanza kuongea mambo ya msingi. Tatizo sio vijana Wala uvivu kama ulivyoana kulaumu awali, Kuna urasimu mwingi sana na vipingamizi kadhaa Hadi ukamate soko na uweze kuhudumia.

Hapo naomba nikuulize, wewe umechukua hatua Gani katika huu mnyororo wote wa thamani kwenye hayo masoko?
 
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.

1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.

Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.

UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7

#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.

2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..

HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana

Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.

Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.

Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.

Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.

Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
Kabisa mkuu, nimeshawahi nasikia naibu waziri wa viwanda na biashara katika awamu ya nne anasema serikali ya Zanzibar inaagiza kuku kutoka nje ili kukidhi mahitaji ya wanzibar nikawaza inamaana wazanzibar hawawezi kufuga kuku? au basi Tanganyika imeshindikana kufuga kuku ili wenzetu waje wachukue? just imagine kuku tuu, ingekuwa uchimbaji wa madini tungesingizia technolojia
 
Nyongeza.....kuna mTanzania amepata soko la korosho katika maduka ya Walmart Marekani,,,,,,kwa kipimo alichopewa angalau kontena za futi 40 ziwe 50 kwa kila baada ya miezi mitatu,,,,,,,,
Hata wakulima wote wa korosho Tanzania waungane kuwe na chombo cha kuwawezesha hawatamudu.......
Sijaelewa Concept Yako hapa//
 
Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30

Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.

KWA mwaka 1500x4=Tani 6000

Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.

UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO

Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista


Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Huyo muongo
 
Sasa hapo ndio umeanza kuongea mambo ya msingi. Tatizo sio vijana Wala uvivu kama ulivyoana kulaumu awali, Kuna urasimu mwingi sana na vipingamizi kadhaa Hadi ukamate soko na uweze kuhudumia.

Hapo naomba nikuulize, wewe umechukua hatua Gani katika huu mnyororo wote wa thamani kwenye hayo masoko?
Kwa kweli mie nimechokoza mada kimtindo....lakini ki ukweli nilishakata tamaa kitambo sana.
 
Kwa kweli mie nimechokoza mada kimtindo....lakini ki ukweli nilishakata tamaa kitambo sana.

Kwanza, unajitambua na umekua mkweli.

Pili, usikate tamaa, jaribu kuchukua hatua zaidi kupata taarifa sahihi kuhusu hizi fursa za masoko. Wanataka mazao ya aina Gani, yaandaliwe Kwa viwango vipi, mambo Gani ya muhimu ya kuzingatia kama mbolea n.k pia vibali ni jukumu la nani? Sheria na taratibu za kuuza mazao nje ya nchi zimekaaje? Mikataba ya namba biashara itakavyoendeshwa itakuaje?

Kuanzia hapo unaweza kupata pa kuanzia. Shida hizi taarifa na harakati hua zinakuja kisiasa sana kiasi kwamba ukiingia Kwa mihemko unakula hasara nzuri tu.

Kwa nnavyowafaham wachina, hawashindwi kufanya magumashi wakashirikiana na watanzania wakaendesha kilimo wao kwa mgongo wa wazawa.
 
Nenda Handeni uwaulize kuhusu kulima mihogo wakati wa DC Godwe G watakujibu kuwa baada ya kulima mazao yalinunuliwa au vipi halafu ndio uje uongee hapa
Tannzania unaweza kukaa mahali ukafikiria sana ukaja na majibu yawezekana serikal inapenda wananchi waendelee kua maskini. Kwa sababu gani, hatujui labda waendelee kutawala milele na milele na mtu maskini ni rahis kumtawala..
 
Huwa tukiwambia kilimo kina lipa wanatuona kama katuni.
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.

1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.

Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.

UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7

#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.

2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..

HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana

Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.

Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.

Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.

Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.

Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
 
Back
Top Bottom