Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.
1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.
Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.
UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7
#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.
2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..
HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana
Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.
Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.
Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.
Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.
Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
Nakubaliana na wewe kwa 100%Kontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30
Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.
KWA mwaka 1500x4=Tani 6000
Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.
UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO
Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista
Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Nakubaliana na wewe kwa 100%
Lakini bila shaka na kwa uhakika kwa Tanzania haiwezekani....kwanza hivyo vibali tu na leseni utapigwa zengwe mpaka ukate tamaa...siasa na roho mbaya.....
Kabisa mkuu, nimeshawahi nasikia naibu waziri wa viwanda na biashara katika awamu ya nne anasema serikali ya Zanzibar inaagiza kuku kutoka nje ili kukidhi mahitaji ya wanzibar nikawaza inamaana wazanzibar hawawezi kufuga kuku? au basi Tanganyika imeshindikana kufuga kuku ili wenzetu waje wachukue? just imagine kuku tuu, ingekuwa uchimbaji wa madini tungesingizia technolojiaNawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.
1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.
Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.
UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7
#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.
2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..
HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana
Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.
Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.
Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.
Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.
Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.
Sijaelewa Concept Yako hapa//Nyongeza.....kuna mTanzania amepata soko la korosho katika maduka ya Walmart Marekani,,,,,,kwa kipimo alichopewa angalau kontena za futi 40 ziwe 50 kwa kila baada ya miezi mitatu,,,,,,,,
Hata wakulima wote wa korosho Tanzania waungane kuwe na chombo cha kuwawezesha hawatamudu.......
Huyo muongoKontena 50 TANZANIA ishindwe?
Tufanye kontena moja ni tani 30
Tani30xkontena50 unapata Tani 1500 kila miezi 3.
KWA mwaka 1500x4=Tani 6000
Sasa jamaa ameambiwa apeleke Tani 6000.
UWEZO WA NCHI KUZALISHA KOROSHO
Nchi inazalisha tani 200,000 na zaidi KWA mwaka kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali ikiwemo website ya Statista
Kwanini Unasema nchi inayozalisha tani 200,000 inashindwa kutuma USA Tani 6000?
Kwa kweli mie nimechokoza mada kimtindo....lakini ki ukweli nilishakata tamaa kitambo sana.Sasa hapo ndio umeanza kuongea mambo ya msingi. Tatizo sio vijana Wala uvivu kama ulivyoana kulaumu awali, Kuna urasimu mwingi sana na vipingamizi kadhaa Hadi ukamate soko na uweze kuhudumia.
Hapo naomba nikuulize, wewe umechukua hatua Gani katika huu mnyororo wote wa thamani kwenye hayo masoko?
Nenda Handeni uwaulize kuhusu kulima mihogo wakati wa DC Godwe G watakujibu kuwa baada ya kulima mazao yalinunuliwa au vipi halafu ndio uje uongee hapaHii ni uhakika sio kama mchongo wa kufuga kware.sungura na samaki
Maelezo zaidi na mawasiliano ya wanunuzi moja kwa moja yapo TANTRADE
Kwa kweli mie nimechokoza mada kimtindo....lakini ki ukweli nilishakata tamaa kitambo sana.
Tannzania unaweza kukaa mahali ukafikiria sana ukaja na majibu yawezekana serikal inapenda wananchi waendelee kua maskini. Kwa sababu gani, hatujui labda waendelee kutawala milele na milele na mtu maskini ni rahis kumtawala..Nenda Handeni uwaulize kuhusu kulima mihogo wakati wa DC Godwe G watakujibu kuwa baada ya kulima mazao yalinunuliwa au vipi halafu ndio uje uongee hapa
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU.
1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa sasa as we speak inazalisha tani 15,000 tu za soya.
Ina maana kunatakiwa tani 400,000 za soya kuzalishwa kubeba soko hilo la China.
UKULIMA WA KUZALISHA TANI 400,000 ZENYE SOKO la wazi ungeajiri vijana 75% ya wasio na kazi sasa hivi na wanaoulishwa ugali na wazazi wao waliomaliza la 7
#TUACHE UVIVU TULIME SOYA.
2. Tangu mwaka 2017 China walitupa soko la muhogo lenye thamani ya $377 milioni maana wao wanauhitaji kutengenezea wanga na sweeteners,Tapioca na bidhaa nyingine 12 kutoka huo hadi sasa Hatujapeleka hata 10% ya hilo soko na muhogo unastawi Mtwara,Lindi,Pwani,Morogoro na Tanga lakini watu tunalima vishamba vile vile vya kuuza muhogo kariakoo ndio maana hata ukiiutafuta muhogo kupeleka China himuwezi kuupata kama soya tu ..
HIVYO VIJANA TUACHE UVIVU pesa ziko KWENYE KILIMO HASA MASOKO HAYO YA WAZI KABISA NA YAKO MENGI sana
Kuna mwarabu alikuwa anataka bamia tani tano kila wiki kupeleka Dubai alikosa wapi atapata tani 20 za bamia kwa mwezi Tanzania hii.
Tan trade pana soko tangu 2018 la kuku 200,000 kila wiki kupeleka Bahrain lakini hata BAKHRESA haliwezi sio kwakua hana pesa bali hakuna utapata kukusanya kuku 200,000 Tanzania hii kwa wiki.
Ndio maana supermarket zinaingiza kuku wa nyama kutoka South Africa Zambia na malawi Zimbabwe kumekufa siku hizi.
Tanzania hii kuna watu wanaagiza samaki kutoka Thailand kuingiza Nchini hapo ndio ujiulize kwanini watu ni wavivu saana namna hii.
Masoko yapo vijana waache kulia lia tu wanyake masoko kwa kuzalisha bidhaa za kilimo.