Vijana chukua fursa: Portable Petrol Station Machine

Vijana chukua fursa: Portable Petrol Station Machine

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,339
Reaction score
1,493
Habari Tanzania !

Haya vijana changamkia fursa hii. Anza pole pole kwa yule mwenye ndoto za biashara ya uuzaji mafuta ya vyombo vya moto mchongo huo hapo. Hata kama hujapata wazo la biashara; unaweza kuta unasukuma hii biz maana soko lake ni uhakika kila siku saa 24 siku 7 za wiki. Kazi ni kwako.

Hiyo mashine inapatikana China unaweza jiagizia ukaanza na mtaji wa Tsh.45,000/= biashara ya Petrol mkali wangu.

Utakuwa unachukulia mzigo kwenye hizo hizo Petrol Station na wewe unakwenda kuuza rejareja kijana.

Nimeambatanisha na kifaa ambacho kinatumika kuuzia hayo mafuta ndugu kijana.

Maeneo ya Biashara:
1. Masokoni
2. Kwenye vituo vya Daladala/Stendi za Daladala
3. Gereji za Pikipiki, Bajaji na Magari

NB
1. Serikali niwaombe msiweke kikwazo kwenye hii biashara kabisa.

2. Nyie wazee wa Vituo vikubwa vya mafuta acheni nongwa sawa kwa vijana. Kikubwa wote mnalipa kodi Serikalini.

09da4f30b7b72ad674a2c42582e510f4.jpg
 
Ukisafiri mkoani, utakuwa vijana wengi wanauza wese kwenye makopo. Maarufu kama kidebe. Wanauza mpaka 4000 kwa lita.

So far serikali hawahangaiki nao. Sasa ngoja usikie muuza wese la kidebe amefunga na pump na kawawekea kivuli wateja wake...kesho tu Ewura hawa hapa
 
Ukisafiri mkoani, utakuwa vijana wengi wanauza wese kwenye makopo. Maarufu kama kidebe. Wanauza mpaka 4000 kwa lita.

So far serikali hawahangaiki nao. Sasa ngoja usikie muuza wese la kidebe amefunga na pump na kawawekea kivuli wateja wake...kesho tu Ewura hawa hapa
Hiyo mashine inatoa mafuta kama upo Petrol Station.

Serikali wabuni tu namna ya kukusanya kodi basi; ushindani wa kibiashara waachie wafanyabiashara.

Natamani kuona wese linapatikana maeneo yote. Kikubwa kijana utembee na "fire extinguisher" kwa kuboresha usalama wa biashara yako.
 
Hiyo mashine inatoa mafuta kama upo Petrol Station.

Serikali wabuni tu namna ya kukusanya kodi basi; ushindani wa kibiashara waachie wafanyabiashara.

Natamani kuona wese linapatikana maeneo yote. Kikubwa kijana utembee na "fire extinguisher" kwa kuboresha usalama wa biashara yako.
Issue ni sheria na regulations zinazoguide iyo sector. Kuna taratibu za kiusalama pia kuna taratibu za kimazingira. Pia kwasasa lazima pump zote ziwe intergrated na mfumo wa EFD.
 
Issue ni sheria na regulations zinazoguide iyo sector. Kuna taratibu za kiusalama pia kuna taratibu za kimazingira. Pia kwasasa lazima pump zote ziwe intergrated na mfumo wa EFD.
Brother kwenye EFD unaweza unganisha na maisha yakaenda vizuri tu.
 
mh kwa hali ilivyo sidhani kama wataruhusu hii kitu kuhofia nyakati kama zile zikijirudia italeta hatari kwao kuweza idhibiti kama walivyo dhibiti boda boda kuweza pata hudumuma na watu wa mafuta ya videbe. ila kibiashara ni wazo zuri mana itakuwa msaada kwa wale wenzangu tuliozoea videbe ambavyo popote gari gari inazima hata kati kati ya foleni.
 
mh kwa hali ilivyo sidhani kama wataruhusu hii kitu kuhofia nyakati kama zile zikijirudia italeta hatari kwao kuweza idhibiti kama walivyo dhibiti boda boda kuweza pata hudumuma na watu wa mafuta ya videbe. ila kibiashara ni wazo zuri mana itakuwa msaada kwa wale wenzangu tuliozoea videbe ambavyo popote gari gari inazima hata kati kati ya foleni.
Upo sahihi.
Tuwe na wauzaji wa jumla na rejareja.
 
Sasa security ikoje na hiyo ni highly inflammable liquid!
 
Sasa security ikoje na hiyo ni highly inflammable liquid!
Tutaboresha usalama wa hii bidhaa.

Kibwagizo:
1. Ukumbuke hata namna tunavyojaza mafuta katika vyombo vya moto hupaswi kuwa ndani au juu ya chombo husika wakati wa ujazaji mafuta aidha Gari, Pikipiki au Bajaji ila ukiwa field maisha ni tofauti (ina maana tumekataa kuchelewa kiuchumi upande huo)

2. Vituo vya mafuta havipaswi kuwepo karibu na makazi ya watu (ila kutokana na changamoto zetu hili tumelikataa kabisa).

3. Tuwaache vijana wafanye biashara.
 
Tutaboresha usalama wa hii bidhaa.

Kibwagizo:
1. Ukumbuke hata namna tunavyojaza mafuta katika vyombo vya moto hupaswi kuwa ndani au juu ya chombo husika wakati wa ujazaji mafuta aidha Gari, Pikipiki au Bajaji ila ukiwa field maisha ni tofauti (ina maana tumekataa kuchelewa kiuchumi upande huo)

2. Vituo vya mafuta havipaswi kuwepo karibu na makazi ya watu (ila kutokana na changamoto zetu hili tumelikataa kabisa).

3. Tuwaache vijana wafanye biashara.
Rushwa!
 
Na Kwa Maono,,,Fikra Na Mtazamo Wako Ipi Bora Na Yenye Sekyuriti zaidi Hii Au Ya Videbe Ya Sasa
 
kibiashara hapana ndugu huu ni malumu kwa watu wenye mashamba makubwa yenye wafanyakazi na vyombo vinavyotumia mafuta
 
kibiashara hapana ndugu huu ni malumu kwa watu wenye mashamba makubwa yenye wafanyakazi na vyombo vinavyotumia mafuta
Wale ndugu wauza wese wanaojipanga barabarani au ndani ya miji huko mfano Tabora, Kigoma na Shinyanga ambapo huduma za Petrol Station ni hafifu!.

Mawazo yako ni mazuri pia; kwa wale wenye uwekezaji huo wanaweza wakafanya kitu.
 
Back
Top Bottom