Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
NAPE akiwa misenyi amewataka vijana wa ccm kuachana na sh tanotano ili kukijenga chama.
tiliwaambia ccm ni chama cha kifisadi wakaja watu humu jf rejao,ribosine,malaria sugu,na wenzao kutetea lakini leo rubani wao NAPE amekiri hadharani kuwa hela chafu ndiyo imekuwa msingi wa viongozi wa ccm kwa sasa.
alichosahau kuwaambia ni kuwa hii kansa imeshakula mpaka koromeo la ccm na hakuna namna tena ya kupona.
tiliwaambia ccm ni chama cha kifisadi wakaja watu humu jf rejao,ribosine,malaria sugu,na wenzao kutetea lakini leo rubani wao NAPE amekiri hadharani kuwa hela chafu ndiyo imekuwa msingi wa viongozi wa ccm kwa sasa.
alichosahau kuwaambia ni kuwa hii kansa imeshakula mpaka koromeo la ccm na hakuna namna tena ya kupona.