Vijana 69 waitosa CHADEMA Mbeya

Vijana 69 waitosa CHADEMA Mbeya

CCM kwa miaka hamsini imedanganya wananchi kuwa ni kazi ya Diwani au Mbunge kuwajaza wananchi pesa!!

Sasa Mary Mwanjelwa mwizi wa MATAULO atawasaidiaje zaidi ya kuwafundisha wizi!!

Mbeya mtatandikwa milele!!
 
Maneno ya cdm ni matamu sanaaa. Tutawapa ajira, maisha safi, elimu bure mpk chuo kikuu. Kwenye utekelezaji ni ziroooo. Kila heri vijana

Hayashindi utamu wa CCM:


HADI - ALIITOA AKIWA WAPI...


  1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
  2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
  3. Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
  4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
  5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
  6. Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
  7. Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
  8. Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
  9. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
  10. Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
  11. Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
  12. Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
  13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
  14. Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
  15. Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
  16. Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
  17. Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
  18. Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
  19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
  20. Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
  21. Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
  22. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
  23. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
  24. Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
  25. Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
  26. Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
  27. Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
  28. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
  29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
  30. Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
  31. Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
  32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
  33. Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
  34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
  35. Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
  36. Kulinda haki za walemavu - Makete
  37. Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
  38. Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
  39. Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
  40. Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
  41. Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
  42. Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
  43. Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
  44. Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
  45. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
  46. Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
  47. Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
  48. Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
  49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
  50. Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
  51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
  52. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
  53. Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
  54. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
  55. Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
  56. Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
  57. Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
  58. Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
  59. Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
  60. Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
  61. Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
  62. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
  63. kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
  64. Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
  65. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
  66. Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
  67. Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
  68. Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
  69. Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
 
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.

wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.

Badilisha kichwa cha habari isomeke Omba Omba 69 waitosa CHADEMA. Nyie CCM mbona mnapenda sana siasa za kutumia njaa za wananchi kujiimarisha>??

Ila mkae mkijua 2015 hata mmalize tembo wote mbugani, hamtakuwa na hela ya kutuhonga vijana milioni 35 wa nchi hii, na kwa kuwa tutakuwa tumeelimika kwenye shule za kata, hongo ya kanga na tshirt na kofia hakuna atakayechukua.
 
asante sana TandaleOne aka mwenezi kwa taarifa, endeleeni kujifariji wakati safari ikielekea ukingoni
 
Diwani Lucas Mwampiki ndiye Katibu Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Mbeya Mjini.
Mimi nilikuwepo kwenye kuwakabidhi Kadi za CCM vijana hao.
Diwani Mwampoiki amekuwa mtu wa kutoshiriki shughuli za Kijamii na akiulizwa anatoa majibu ya kshfa na dharau kwa vijana na wapiga kura.
Pia aliwaahidi vijana hawa kuwa atawasaidia kuwatafutia mitaji ili waweze kujiajiri na kufanya ujasiliamali.
Pia jana nlikuwa na Interview pamoja na Mwampiki kwenye Radio Station inaitwa ROCK FM hakika huyu mtu hana sera wala mipango endelevu kwa vijana na jamii yake zaidi ya Propaganda tu.
 
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.

wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.

Kama wanataka ndarama wakapange foleni Lumumba ama waende nyumbani kwa msomali muua tembo
 
Unapenda sana Namba 69 wee kijana. Angalia usije ukauguwa kansa ya koo kama Michael Doglas.

041231133804_indian_style_69_position.jpg

Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
 
Vijana wamejitambua.

...yaaa wametambua kwamba chadema haihongi mtu kama anavyotaka kufanya mwigulu huko arusha. vijana wa hivi wengi tu watakuja kwenu sisi ni uzalendo kwanza na si pesa kwanza. tunachangia chama hatulipwi au kuchongewa dili kwa jina la chama...
 
Wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.

MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia CCM mkoani hapa, Mary Mwanjelwa amepinga kutoa kauli za kuonesha nia ya kukihama chama hicho na kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).


Tamko la Mwanjelwa alilolitoa kwa waandishi wa habari jana, limetokana na gazeti moja la nchini kumkariri kuwa ana nia ya kuihama CCM kutokana na Rais Jakaya Kikwete kuteua
wabunge ndani ya muda mfupi na kuwapa nafasi ya uwaziri.


Gazeti hilo lilimkariri mbunge huyo ambaye ameingia bungeni mwaka 2010 baada ya Uchaguzi Mkuu, akisema uteuzi wa Rais Kikwete kwa mawaziri haukumridhisha kwa kuwa wapo wabunge akiwamo yeye waliopaswa kupewa wadhifa huo kwakuwa wabunge wa muda mrefu.
 
Ngoja warudi walikotoka.
Hao bado hawajajikomboa fikra.
CCM ndo iliwaambia wajiunge vikundi wapewe pesa mamilioni JK.pesa za nchi alizochota akasema za JK.
Tena warudi kwao wataambulia t-shirts.kofia.kanga na buku tano kila ifikapo uchaguzi.nafikiri hiyo itasaidia kikundi chao.
 
Kwani walitegemea diwani awape nini? Kama aliwapa idea ya kuunda kikundi si walitakiwa wakakope hela benki au diwani ni benki? Sipati tabu kuamini hao ni vijana wa magamba waliojivisha U-CHADEMA!

Wakakope wapi wakati kila mkutano wa chadema viongozi wanakusanya harambee,kama nia yenu kusaidia kwanini msiwakopeshe hayo mabilioni ya harambee acheni hizo mtabainika tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.

wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.

Kama kila Mtanzania anacheza na mawazo ya mwenzake ili apate pesa hatutapata dira ya kutupeleka kwenye maendeleo. Siku hizi watz wanabadili hata dini kutafuta pesa hawa nao wasije kuwa walikuwa wanavizia pesa mahali zimekosekana sasa wanabadili muelekeo. Na huko nao wanawapokea bila kuijua dhamira yao ya dhati. Mimi siyo mtaalamu sana wa elimu ya tabia ya binadamu lakini???
 
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.

wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.

walewale hawa, hawataki kufanya kazi wanakimbilia kwenye mikutano ya Ma...ba na kujidai upinzani hauna lolote ili wapate chochote kutoka huko.

Hivi hawa wamejiuliza zile ahadi lukuki alizoahidi JK enzi za kampeni zake ametekeleza ngapi hadi sasa?
Tulisikia bungeni kuwa hizo ahadi zinatekelezwa na serikali kupitia bajeti, basi na ahadi za huyo diwani zitatekelezwa na bajeti ya serikali. Sio kila ahadi zinaweza kutekelezwa na madiwani.
 
Badilisha kichwa cha habari isomeke Omba Omba 69 waitosa CHADEMA. Nyie CCM mbona mnapenda sana siasa za kutumia njaa za wananchi kujiimarisha>??

Ila mkae mkijua 2015 hata mmalize tembo wote mbugani, hamtakuwa na hela ya kutuhonga vijana milioni 35 wa nchi hii, na kwa kuwa tutakuwa tumeelimika kwenye shule za kata, hongo ya kanga na tshirt na kofia hakuna atakayechukua.

Tengua kauli usitutafutie ban,Mbeya vijana wanajituma sio ombaomba kama mlitaka mtubuluze kwakua hatuna misingi ya biashara wambie wajinga wenzio imekula kwenu,tunaitaji maendeleo ya watu na mji kwa ujumla,vizuri muwaachie wenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana wa Mbeya,uchekbob na usharobaro wenu mwisho Moro

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
ata hivyo hao si walipandikizwa na magamba, kwan nan hafaham trick za kitoto kama hizo? Kama cdm imedhubutu kuwatimua madiwan wanafiki ndan ya chama kitu ambacho magamba hawajawahi kukifanya toka wawe madarakan, itakuwa hao tone moja ktk bahari.
 
Tengua kauli usitutafutie ban,Mbeya vijana wanajituma sio ombaomba kama mlitaka mtubuluze kwakua hatuna misingi ya biashara wambie wajinga wenzio imekula kwenu,tunaitaji maendeleo ya watu na mji kwa ujumla,vizuri muwaachie wenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana wa Mbeya,uchekbob na usharobaro wenu mwisho Moro

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Huoni hata aibu kuja hapa kujinadi kuwa unahitaji kuletewa maendeleo na mtu mwingine. MaCCM wamewaacha watu wa Mbeya mnaogelea tu kwenye mavumbi miaka yote we kwa akili yako ya samaki unahisi watawaendeleza leo. Maendeleo yanaletwa na wewe binafsi, kama huna business skills unasubiria kuletewa na CHADEMA au MaCCM huo ni ujinga wako binafsi, ambao CCM ndio wanautumia kuwadanganya. Subiri upewe Tshirt na Khanga kijana.
 
lile kontena lenye tshirt na kadi feki za chadema lilishaingia.
mwaka huu tutasikia wakisema hata wabunge wa chadema wamerudi CCM
tuliambiwa watrui wengi tu ktk mkutano wa Miwgulu Kibaha
inawezekana ni vijana wa CCM wenyewe wamejiunga na CCM kwa kupewa kadi feki za chadema
kama mwigulu kaweza kumfuata diwani mtarajiwa arudi CCM watashindwaje kutangaza habari za kisandiki kama hizi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom