Maneno ya cdm ni matamu sanaaa. Tutawapa ajira, maisha safi, elimu bure mpk chuo kikuu. Kwenye utekelezaji ni ziroooo. Kila heri vijana
HADI - ALIITOA AKIWA WAPI...
- Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
- Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
- Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
- Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
- Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
- Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
- Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
- Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
- Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
- Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
- Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
- Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
- Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
- Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
- Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
- Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
- Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
- Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
- Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
- Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
- Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
- Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
- Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
- Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
- Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
- Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
- Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
- Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
- Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
- Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
- Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
- Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
- Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
- Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
- Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
- Kulinda haki za walemavu - Makete
- Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
- Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
- Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
- Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
- Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
- Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
- Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
- Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
- Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
- Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
- Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
- Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
- Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
- Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
- Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
- Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
- Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
- Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
- Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
- Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
- Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
- Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
- Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
- Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
- Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
- Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
- kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
- Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
- Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
- Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
- Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
- Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
- Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Kwani nani alimwambia atoe ahadi za uongo..? Na nyie bila kutafakari wala kujitafakari mnamtetea huyo Diwani.
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana wamejitambua.
Wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Uamuzi mzuri wa kula hela za mbunge kwa kumdanganya???????????wamechukua uamuzi mzuri,na wengi sana watafuata
Kwani walitegemea diwani awape nini? Kama aliwapa idea ya kuunda kikundi si walitakiwa wakakope hela benki au diwani ni benki? Sipati tabu kuamini hao ni vijana wa magamba waliojivisha U-CHADEMA!
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Chadema Kata ya Mwakibete, jijini Mbeya imepata pigo baada ya vijana wake 69 kuamua kukitosa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Vijana hao walisema wamefikia uamuzi huo baada ya Diwani wa Kata hiyo, Lucas Mwampiki (CHADEMA) kushindwa kukisaidiankikundi chao kama alivyoaihidi kwenye kampeni zake, licha ya kumfuata mara kadhaa kumuomba msaada na kumkumbusha juu ya ahadi yake.
wakizungumza mbele ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Dk Mary Mwanjelwa walisema Diwani Mwampiki amekuwa kikwazo kwao katika kujiinua kiuchumi na kuondokana na Utegemezi.
Badilisha kichwa cha habari isomeke Omba Omba 69 waitosa CHADEMA. Nyie CCM mbona mnapenda sana siasa za kutumia njaa za wananchi kujiimarisha>??
Ila mkae mkijua 2015 hata mmalize tembo wote mbugani, hamtakuwa na hela ya kutuhonga vijana milioni 35 wa nchi hii, na kwa kuwa tutakuwa tumeelimika kwenye shule za kata, hongo ya kanga na tshirt na kofia hakuna atakayechukua.
Tengua kauli usitutafutie ban,Mbeya vijana wanajituma sio ombaomba kama mlitaka mtubuluze kwakua hatuna misingi ya biashara wambie wajinga wenzio imekula kwenu,tunaitaji maendeleo ya watu na mji kwa ujumla,vizuri muwaachie wenye uwezo wa kubadilisha maisha ya vijana wa Mbeya,uchekbob na usharobaro wenu mwisho Moro
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums