TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
- #41
Huu ndio mwanzo wa mwisho wa chadema.,kwa matendo yanayofanywa na chadema hapa nchini hivi sasa ya uvunjifu wa amani na umwagaji damu watanzania wameshawachoka na wanataka kurejea katika amani yao kwa kuikataa chadema na kila chao.