Vijana 56 wakacha mradi BBT

Nrangoo

JF-Expert Member
May 22, 2017
3,352
5,250
Waziri wa Kilimo Hussein anatoa taarifa ya vijana 56 kukimbia mradi wa kilimo maarufu kama jenga kesho bora (Building Better Tomorrow).

Inasemekana wengine wamekimbia na wengine wamepata ajira nyingine serikalini.

Bado Serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza , vijana wengi waliokuwa wamechaguliwa kujiunga na huo mradi walikuwa makada wa chama cha mapinduzi CCM na watoto wa Vigogo Serikalini.

Chanzo: Azam News
 
Waziri wa Kilimo Hussein anatoa taarifa ya vijana 56 kukimbia mradi wa kilimo maarufu kama jenga kesho bora (Building Better Tomorrow).

Inasemekana wengine wamekimbia na wengine wamepata ajira nyingine serikalini.

Bado serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza , vijana wengi waliokuwa wamechaguliwa kujiunga na huo mradi walikuwa makada wa chama cha mapinduzi CCM na watoto wa Vigogo serikalini.


Chanzo : Azam News
Wewe unaamini kabisa kitu kinafavywa na chawa kitakuwa na mantiki? Kila sehemu ukada ndo unatawala!
 
Tutaona na kusikia dana dana nyingi sana.

Watanganyika msichokijua au kufahamu Waziri wa Kilimo Hussein hajalima Hata robo eka yake Yeye kama yeye.

Anataka wengine wakalime Yeye Kwanini asionyeshe Mfano.
Yawezekana vijana waliotoweka ndiyo ulikuwa mpango wa waziri kupigia gape.

Nchi ina wahuni wengi sana hii
 
Bado serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza , vijana wengi waliokuwa wamechaguliwa kujiunga na huo mradi walikuwa makada wa chama cha mapinduzi CCM na watoto wa Vigogo serikalini
Azam tv hawezi kuandika hiki. Kama ni wewe ungetalia kuweka tahadhari ya kuwa unaongeza maoni Yako.
 
Kitu inachokosea Serikali na Bashe ni kukokota vijana kama mazombi na kuwapeleka kwenye hivyo viota kuwaatamia wakati hakuna mazingira wezeshi baada ya kuatamiwa.
 
Mwisho wa siku pesa itatafunwa bila matokeo kuonekana, wazee wa big results now. Hizo pesa bora watoe ruzuku kwenye pembejeo za kilimo ili wakulima original waongeze uzalishaji, siyo hao wakulima wa mwendokasi......
 
Waziri wa Kilimo Hussein anatoa taarifa ya vijana 56 kukimbia mradi wa kilimo maarufu kama jenga kesho bora (Building Better Tomorrow).

Inasemekana wengine wamekimbia na wengine wamepata ajira nyingine serikalini.

Bado serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza , vijana wengi waliokuwa wamechaguliwa kujiunga na huo mradi walikuwa makada wa chama cha mapinduzi CCM na watoto wa Vigogo serikalini.

Chanzo: Azam News
Ifike mahali suala la maendeleo ya nchi lisiwe la kisiasa zaidi.
 
Alime wakati bei ya mazao mtaani huku anaijua?
Tutaona na kusikia dana dana nyingi sana.

Watanganyika msichokijua au kufahamu Waziri wa Kilimo Hussein hajalima Hata robo eka yake Yeye kama yeye.

Anataka wengine wakalime Yeye Kwanini asionyeshe Mfano
 
Na Waziri wa mambo ya ndani ajiunge kwenye doria za polisi kutoa mfano,Waziri wa ulinzi avae gwanda aende mpakani,wa miundombinu atindue vifusi barabarani na kuendesha malori..we ni mbuzi
Bashe mwenyewe hata kulima hajawahi
Au ndiyo kilimo cha whatsap group
Yes yes no no nyingi

Ova
 
Mwisho wa siku pesa itatafunwa bila matokeo kuonekana, wazee wa big results now. Hizo pesa bora watoe ruzuku kwenye pembejeo za kilimo ili wakulima original waongeze uzalishaji, siyo hao wakulima wa mwendokasi......
Walimaji wa ukweli wameachwa
Wamechukuliwa waimba singeli na amapiano

Ova
 
Waziri wa Kilimo Hussein anatoa taarifa ya vijana 56 kukimbia mradi wa kilimo maarufu kama jenga kesho bora (Building Better Tomorrow).

Inasemekana wengine wamekimbia na wengine wamepata ajira nyingine serikalini.

Bado serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza , vijana wengi waliokuwa wamechaguliwa kujiunga na huo mradi walikuwa makada wa chama cha mapinduzi CCM na watoto wa Vigogo serikalini.

Chanzo: Azam News
Wametoka huko na mapoda Yao wakajua Serikali inagawa pesa au inatoa ni Ajira 🤪🤪🤪

Pale unaenda kufundishwa kazi tena ya Kilimo na Mifugo kama ni mtu wa Dar na kujibinua makalio na midomo imekukata, shamba hakuhitaji ubishoo.
 
Back
Top Bottom