Vijana 10 wa JKT Msata kufariki wakiwa kambini wa kuwajibika wawajibike tu

Syria kasaidiwa na china kuiripua kambi ya USA na USA kaujua mchezo kaamua kumpiga biological weapon VIRUS siku ya mwaka mpya wa kichina(wachina wengi hurudi kwao kusherekea sikukuu hii)
Mambo yanayotokea kambini yanaishia kambini,usishangae Trump kusema "All is well" wakati moyoni ukweli ana ujua.

So kila linalotokea kambini basi mna haki wa kulijua,kumbukeni shambulio la juzi la Iran ktk kambi ya US Iraq.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu hili jambo nadhani lilikuwa na mpango wa kufichwa, mbona tangazo la kwanza limekuwa ni like LA raisi ambalo halikuwa rasmi bali kama rambirambi tuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mengine yabaki siri yao kama budget zao
Hayo ni mambo ya usalama
 
Back
Top Bottom