Mronje
New Member
- Sep 10, 2019
- 4
- 21
Hayo maelezo ya CDF yanaacha maswali mengi kuliko majibu. Maana kuharisha na kutapika inawezekana pia ni "Rhabdomyolisis" hali ambayo hupelekea "Acute kidney failure", kwa kesi ya vijana moja kwa moja ni mazoezi ya kupitiliza kutoka kwa maafande. Uchunguzi huru unahitajika
na wa kuwajibishwa wawajibishwe.
1. Vijana wetu 10 waliokuwa kwenye mafunzo ya JWTZ wamepoteza maisha