US navy seal hawana mazoezi ya namna hiyo ya kuua, wale yamekaa kisanmyansi sana. Mimi sio mwanajeshi na wala sitaki kusema sana kwemnye maswal ya jeshi lakini nashangaa sana wanajeshi wa Afrika wanapiga mazoezi sana wakati wa mafunzo na wanaiva kweli kweli lakini wakikaa kazini 2 to 3 yrs hivyo vitambi vinafuta yoote waliyijifunza kiasi kwamba hawesi kukimbia 200metres bila kupumzika.Ni jeshi la nchi gani hilo ambalo halina mafunzo heavy?
Unawajua seal ya marekani?