Vigogo wengine kutimkia chadema

Vigogo wengine kutimkia chadema

Chadema wachukueni vijana wote wanaotoka CCM lakini msije mkamchukua NAPE wala Ridhiwani.
 
hizi ni dalili za ccm kuwa chama cha upinzani, let us wait and see.
 
Kwani hao wanaoruka kutoka jahazi la CCM na kuhamia la CHADEMA wanaacha itikadi zao? Ni mafisadi tu. Sina imani nao. Kwa hili, natofautiana na Mwenyekiti wangu, Freeman Mbowe. HAWA WAMETUMWA kuja kuimaliza CHADEMA. Hawana hata CHEMBE ya uzalendo kwenye nafsi zao.
 
Tutakapoikomboa nchi Usitarajie kuwawekea vikwazo vya kuijenga nchi wananchi waliokuwa na mafungamano na ccm, ama la sivyo hatuijui falsafa ya mzee Nelson Rolilohlo Mandela kuhusu Afrika kisini. Cha msingi ni kuwa watu wabadili mindset kwa nchi yetu. wasiichukulie kimagamba magamba!!!!

Mkuu Jogi, hili hasa ni neno ikiwa tunataka kukimbia badala ya kutembea mara tuingiapo kwenye barabara ya uhuru mpya. Watu wabadilike, tusahau yaliyopita na tugange yajayo, ingawa ni ngumu.
 
Millya hana influence yoyote itakayochajngia kuivuruga cdm.kumfananisha millya na mrema wa zamani ni sawa na kumfananisha lema na diwani wa ccm,like meru and isamilo montain in mwanza when u compare,in another way kaumaarufu cha millya imetokana na Edo mamvi that wy natabiri huyu bwana kushindwa kujibeba himself labda abebwe na infknce ya chama,arusha mjini millya hapawezi maana hata jukwaa millya hawezi cheza nalo,kumchukua hapo jana si kwa kuwa ni political product ila 2 show them (ccm) kuwa 2mewakomba
 
Mkuu Jogi, hili hasa ni neno ikiwa tunataka kukimbia badala ya kutembea mara tuingiapo kwenye barabara ya uhuru mpya. Watu wabadilike, tusahau yaliyopita na tugange yajayo, ingawa ni ngumu.

Ni kweli mkuu, ndio maana tunawashauri vijana kutoka ccm ya kuwa wawiwe na changamoto za kiukombozi, waachane na ccm na mfumo wake woote! baadhi ya wakristo huapa kwa kusema "Namkataa shetani na kazi zake zote, na mambo yake yote . . . . . " Nao wajiapie kwa mungu wao wakisema 'nawaongoza' "NAIKATAA CCM NA MAMBO YAKE YOTE, NA GHILBA ZAKE ZOTE, NA UFISADI WAKE WOTE, NA UHUNI WAKE WOTE . . . . . . . . ." Watakuwa wamejitengenezea nafasi duniani(tanzania) na mbinguni pia!
 
Nipo safari na mwanasiasa mmoja nguli wa CCM anasema kuna habari kuwa vijana 5000 wanaachana na CCM na kwamba haijaeleweka watahamia chama gani!

Hiii ni baada ya Ole Millya kupiga chini CCM na kujiunga na CHADEMA.

Source: diwani wa CCM Huku niliko.
 
Tutafika tu, bado JK kutangaza hadharani kutuunga mkono!!
 
Nipo safari na mwanasiasa mmoja nguli wa CCM anasema kuna habari kuwa vijana 5000 wanaachana na CCM na kwamba haijaeleweka watahamia chama gani!

Hiii ni baada ya Ole Millya kupiga chini CCM na kujiunga na CHADEMA.

Source: diwani wa CCM Huku niliko.

Ni diwani wa wapi aliyekunyetishia habari hiyo? Hata hivyo sitashangaa kabisa ikitokea.
 
du...chichiemu hyooo inakata roho, amekosekana doctor wa kuinusuru!!
 
Nitakuwa nafuraha sana kama hawa vijana wa uvccm watajiunga na chadema kuongeza nguvu ili tuwang'oe ccm 2015 safi sana!
 
Back
Top Bottom