Kwani hao wanaoruka kutoka jahazi la CCM na kuhamia la CHADEMA wanaacha itikadi zao? Ni mafisadi tu. Sina imani nao. Kwa hili, natofautiana na Mwenyekiti wangu, Freeman Mbowe. HAWA WAMETUMWA kuja kuimaliza CHADEMA. Hawana hata CHEMBE ya uzalendo kwenye nafsi zao.
"Not all glitters are gold".
| ||
|
Wenyeviti Wa Mikoa na Wilaya Ndio NGUZO ya Chama Cha CCM na Wananchi; kama hizo Nguzo zikihama kuhamia Chadema, CCM itakuwa na kazi kubwa kuwashawishi wananchi kukitambua CCM na kukichagua na kupata Mwakilishi wake... Are we starting to view the wind of change which hit KANU it comes form the small mountain called Mt. Kenya