Kakubilo Kasota
Senior Member
- Mar 14, 2012
- 166
- 56
Napenda sana mipango ya CHADEMA hasa vikikaa kikao vile vichwa vitano, yaani Kamanda Mbowe, Dr Slaa, Zitto Kabwe (nadhani nae yupo mbioni kuitwa Dr, nasikia anamalizia PHD yake huko German) Mzee/Sheikh Arfi na Prof. Mwesiga, wakitoka tu kweney hicho kikao lazima kieleweke tu, si mnakumbuka Operation Sangara? ilianzia kule Tarime 2008, ccm ilitetemeshwa kweli kweli, kwa mara ya kwanza mawaziri na wabunge wa magamba walianza kuzomewa hadhani na rais kurushiwa mawe, sasa kuna M4C, hapo magamba hayapati usingizi kabisa, kweli anayechukia CDM lazima atakuwa mchawi tu, CDM ni noumer!