Vigogo wengine kutimkia chadema

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,277
9,912
Kuna habari kwamba baadhi ya wenyeviti wa UVCCM kutoka baadhi ya wilaya za mkoa wa Arusha nao wanatarajiwa kuhamia CHADEMA pamoja na Millya siku chache zijazo.

Makundi ya vijana mjini hapa walizipokea kwa shangwe taarifa hizo, huku wakiwataka vijana wengine ndani ya CCM kuondoka na kujiunga na CHADEMA kwa kile walichoeleza kuwa itawawezesha kujenga nguvu ya pamoja kuiondoa madarakani CCM ambayo imekuwa ikiwathamini na kuwajali watoto wa vigogo hasa katika suala zima la uongozi .

"Vijana wa CCM watoke wote waende CHADEMA. Kule vijana wanapewa fursa ya kuongoza na mawazo yao yanasikilizwa; hivyo ni rahisi kupanga mipango ya maendeleo inayotekelezeka hasa wakifanikiwa kuing'oa madarakani serikali ya CCM 2015 ambayo imabaki kuwalundikia vyeo wazee wastaafu huku vijana wakiambiwa wao bado hawana uzoefu" alisema Jackob Mollel, mkazi wa Arusha mjini.

Naye Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, alisema chama kinamkaribisha Millya na wanasiasa wengine walio safi kujiunga nacho ili kuongeza nguvu ya mabadiliko kinayopigania.

Baadhi ya wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema hatua iliyochukuliwa na Millya ni mwendelezo wa mmeguko ndani ya CCM na ishara kwamba chama hicho tawala kinazidi kumong'onyoka.

Source. Tanzania Daima.
 
Tuwachukue hao vijana wa Magamba kwa taadhari sana isje kuwa matatizo kwan waweza kuwa mapandikizi katika chama
 
Kuna habari kwamba baadhi ya wenyeviti wa UVCCM kutoka baadhi ya wilaya za mkoa wa
Arusha nao wanatarajiwa kuhamia CHADEMA pamoja na Millya siku chache zijazo.
Makundi ya vijana mjini hapa walizipokea kwa shangwe taarifa hizo, huku wakiwataka vijana
wengine ndani ya CCM kuondoka na kujiunga na
CHADEMA kwa kile walichoeleza kuwa itawawezesha kujenga nguvu ya pamoja kuiondoa madarakani CCM ambayo imekuwa ikiwathamini na kuwajali watoto wa vigogo hasa
katika suala zima la uongozi .

"Vijana wa CCM watoke wote waende CHADEMA. Kule vijana wanapewa fursa ya kuongoza na mawazo yao yanasikilizwa; hivyo
ni rahisi kupanga mipango ya maendeleo inayotekelezeka hasa wakifanikiwa kuing'oa
madarakani serikali ya CCM 2015 ambayo imabaki kuwalundikia vyeo wazee wastaafu huku vijana wakiambiwa wao bado hawana
uzoefu" alisema Jackob Mollel, mkazi wa Arusha mjini.

Naye Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, alisema chama kinamkaribisha Millya
na wanasiasa wengine walio safi kujiunga nacho ili kuongeza nguvu ya mabadiliko kinayopigania.
Baadhi ya wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema hatua iliyochukuliwa na Millya ni
mwendelezo wa mmeguko ndani ya CCM na ishara kwamba chama hicho tawala kinazidi
kumong'onyoka.
Source. Tanzania Daima.
"Not all glitters are gold".
 
Tuwachukue hao vijana wa Magamba kwa taadhari sana isje kuwa matatizo kwan waweza kuwa mapandikizi katika chama

Tutakapoikomboa nchi Usitarajie kuwawekea vikwazo vya kuijenga nchi wananchi waliokuwa na mafungamano na ccm, ama la sivyo hatuijui falsafa ya mzee Nelson Rolilohlo Mandela kuhusu Afrika kisini. Cha msingi ni kuwa watu wabadili mindset kwa nchi yetu. wasiichukulie kimagamba magamba!!!!
 
Mkuu Jogi, kwani msimamo wako ni upi ktk hili suala la wana magamba kukimbilia CDM?

Mkuu, mimi naunga mkono mwana mpotevu kurudi nyumbani. ulinzi wa nyumbani kwangu ni mzuri kum-acomodate naye pia. NAUNGA MKONO. Kwa hawa viongozi kunafaida kubwa imejificha ndani yake, ikiwa ni pamoja na kuwaongezea ujasiri vijana au wazee wenye woga kule vijijini ambako ushindi tunategemea uataanzia huko.
 
Wasije toka ccm pekee yake,bali toka vyama mbalimbali kwa ajili ya kuendeleza mchakato wa mageuzi ya kweli na maendeleo ya Taifa hili.
 
Mkuu, mimi naunga mkono mwana mpotevu kurudi nyumbani. ulinzi wa nyumbani kwangu ni mzuri kum-acomodate naye pia. NAUNGA MKONO. Kwa hawa viongozi kunafaida kubwa imejificha ndani yake, ikiwa ni pamoja na kuwaongezea ujasiri vijana au wazee wenye woga kule vijijini ambako ushindi tunategemea uataanzia huko.
Nimekuelewa vizuri. Hata mimi sina kinyongo na wageni, cha msingi wanatakiwa kufuata kanuni na maadili ya CDM. Ni furaha iliyoje kwa mzazi kumpata mwana mpotevu!
 
Ccm ni dume la mbegu wachukueni tu hayo makapi!

ungemalizia hv ccm ni dume la mbegu chafu za ufisadi! acha waende kwenye demokrsasia na maendeleo kama ni makapi mbona hamkuwafukuza kabla wanapojiengua ndio mnaona makapi!! vipi yale magamba sugu matatu nayo mnasubiri yajivue yenyewe?? CCM jiandaeni tu kutumbukia kwenye shimo walimo rafiki zenu KANU!!!
 
Chama cha CDM kiwe makini. Ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka. Naogopa sana Millya asiwe ni Mrema mwingine aliyetumwa kuja kukithoofisha chama hasa wakati wa uchaguzi mdogo wa Arusha. Anaweza kuwakomalia ateuliwe yeye badala ya Lema na endapo watakataa akakigawa chama ukizingatia Arusha ni IKULU ya CDM inatakiwa ilindwe kama mboni ya jicho. Yangu ni hayo tu. Nilikuwa napita tu.
 
Wale wanaccm wanaojiona ni wasafi, na sisi tumewathibitisha ni wasafi tunawakaribisha chadema, waje tukaijenge nchi yetu!
 
kauli za viongozi mbali mbali wa CCM zinaonyesha swala hilo la Milya kuhama limewavuruga sana, isipokuwa nampongeza mwenyekiti wa CCM mkoa kwa busara alizotumia kutokurupuka kutoa shutuma mbele ya waandishi wa habari.
 
Tutakapoikomboa nchi Usitarajie kuwawekea vikwazo vya kuijenga nchi wananchi waliokuwa na mafungamano na ccm, ama la sivyo hatuijui falsafa ya mzee Nelson Rolilohlo Mandela kuhusu Afrika kisini. Cha msingi ni kuwa watu wabadili mindset kwa nchi yetu. wasiichukulie kimagamba magamba!!!!

mweeeeeeeeeeeeeeeee.ccm.kuanzia k.njaro,arusha,bbti..chadema.moto.kule tanga,na pwani mtwara lindi .cuf wanawapa joto la kubambua magamba.eti mkama anasema chama chake hakinina mchoko wa akili wala wakimwili.kipo imara.du.mpaka 2015.meng twashuhudia.
 
Kuna habari kwamba baadhi ya wenyeviti wa UVCCM kutoka baadhi ya wilaya za mkoa wa
Arusha nao wanatarajiwa kuhamia CHADEMA pamoja na Millya siku chache zijazo.
Makundi ya vijana mjini hapa walizipokea kwa shangwe taarifa hizo, huku wakiwataka vijana
wengine ndani ya CCM kuondoka na kujiunga na
CHADEMA kwa kile walichoeleza kuwa itawawezesha kujenga nguvu ya pamoja kuiondoa madarakani CCM ambayo imekuwa ikiwathamini na kuwajali watoto wa vigogo hasa
katika suala zima la uongozi .

"Vijana wa CCM watoke wote waende CHADEMA. Kule vijana wanapewa fursa ya kuongoza na mawazo yao yanasikilizwa; hivyo
ni rahisi kupanga mipango ya maendeleo inayotekelezeka hasa wakifanikiwa kuing'oa
madarakani serikali ya CCM 2015 ambayo imabaki kuwalundikia vyeo wazee wastaafu huku vijana wakiambiwa wao bado hawana
uzoefu" alisema Jackob Mollel, mkazi wa Arusha mjini.

Naye Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, alisema chama kinamkaribisha Millya
na wanasiasa wengine walio safi kujiunga nacho ili kuongeza nguvu ya mabadiliko kinayopigania.
Baadhi ya wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema hatua iliyochukuliwa na Millya ni
mwendelezo wa mmeguko ndani ya CCM na ishara kwamba chama hicho tawala kinazidi
kumong'onyoka.
Source. Tanzania Daima.

katika msafara wa mamba hata chura wamo. unangalifu kwanza
 
mweeeeeeeeeeeeeeeee.ccm.kuanzia k.njaro,arusha,bbti..chadema.moto.kule tanga,na pwani mtwara lindi .cuf wanawapa joto la kubambua magamba.eti mkama anasema chama chake hakinina mchoko wa akili wala wakimwili.kipo imara.du.mpaka 2015.meng twashuhudia.

Mzee Mukama hatusikii kuhutubia mkutano wa hadhara zaidi ya kwenye kampeni, unadhani anao mvuto wa kuwakusanya watu awahutubie, iwe mvuto wa chama au wake binafsi!
 
Back
Top Bottom