.majira ishanunuliwa ka jambo leo" kajanja kasife njaa
safi sana ,sahani ya supu *HAIOSHWI KWA MAJI BARIDI* kiboko yake maji moto na sabuni,magamba mpaka yaishe.walifikiri chama cha manufaa hicho*CDM*WAKAUNGANE NA CHICHIDODOPoor souls..........hivi kumbe kabla ya kupanda basi ni lazima ukague injini? Mimi nilikuwa sijui hilo.......halafu wamejidanganya sana kuwa viongozi wa CCMnia yao sio kujinufaisha.......Labda kwa vile wako Morogoro wangekuwa huko Bongo wasingesema hayo
Ukiwa shushushu wa chama hizo ndo kazi wanazopewa. Namfahamu kiongozi mmoja alikuwa chama pinzani baadaye nikamuona anawakilisha ccm kwenye shughuri maalum ya kitaifa. Wala wapinzani wa kweli wasitishike na hilo jambo, huo ni mpango wa ccm wa muda mrefu wa kuonesha watanzania wasivo penda vyama vya upinzani kama mbinu za kudhoofisha wapinzani.
ccm wanapotea kutumia njia hizo. Wao wangekuwa wanatenda mambo yaliyo sawa then watu wanaipenda ccm kwa kazi nzuri sio wanajifanya kuua upinzani ili wao waendelee kuibia nchi.
Safiiii. Mhe Silaha fuata nyayo!Na Severin Blasio, Morogoro
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Morogoro, Bw. Abeli Ruanda pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani Morogoro Bw. Rajabu Ally Kiselengo, wametangaza rasmi kuhamia CCM.
Wakizungumzia na gazeti hili kwa nyakati tofauti, viongozi hao walidai kujiunga upinzani kwa bahati mbaya kama abilia awapo barabarani ambapo linapotekea gari lenye umbo na rangi nzuri hulazimika kuingia ukiamini ni chombo imara wakati mashine yake ni mbovu na haiwezi kuwafikisha popote.
Mbali na kuipongeza CCM kwa uimara wake, viongozi hao walisema vyama vya upinzani havina sera ya kuwakomboa Watanzania bali viongozi wake wanataka kujinufaisha.
Chanzo: Gazeti la Majira, Dec 4, 2012
Na Severin Blasio, Morogoro
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Morogoro, Bw. Abeli Ruanda pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani Morogoro Bw. Rajabu Ally 'Kiselengo', wametangaza rasmi kuhamia CCM.
Wakizungumzia na gazeti hili kwa nyakati tofauti, viongozi hao walidai kujiunga upinzani kwa bahati mbaya kama abilia awapo barabarani ambapo linapotekea gari lenye umbo na rangi nzuri hulazimika kuingia ukiamini ni chombo imara wakati mashine yake ni mbovu na haiwezi kuwafikisha popote.
Mbali na kuipongeza CCM kwa uimara wake, viongozi hao walisema vyama vya upinzani havina sera ya kuwakomboa Watanzania bali viongozi wake wanataka kujinufaisha.
Chanzo: Gazeti la Majira, Dec 4, 2012
Hata pale Morogoro waliandamana wengi tu lakini hawa Viongozi walikuwa wapi mpaka kijana wa watu AKALA CHUMA CHENHYE NCHA KALINimeona kamanda Sugu ameingiza wanachama zaidi ya 200 wapya na ni wananchi wa kawaida kabisa ambao maisha yao yamefanywa magumu na ccm.. Tunawahitaji wananchi wa kawaida kwenye kwenye ukombozi.. Sio hawa ambao walikuwa ni viongozi kabla ya kutoka ccm.. Wanapokuja wanaishia kuitisha mikutano na kutangaza kuhama kwa kashfa..
Nafikiri hawa ndio aliowasema NAPE kuwa wanalipia KADI za CCM
wataisha tu.
yeo naaamnisha kuwa kwa CCM kuwa na cheo ni Ulaji, CDM kuwa na cheo ni utendaji, see the differenceMKUU VYEO VIPI TENA unamaanisha? si tayari walikuwa navyo huko chadema lakini wameamua kuvitema? labda utoe sababu nyingine.