Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Kwa hiyo unapinga vigogo wa Chadema Morogoro hawajahamia CCM?
Chichidodo.
Kwa hiyo unapinga vigogo wa Chadema Morogoro hawajahamia CCM?
vichwa vya kuku ni hatari kwa afya yako...!
wile wa malecela naona umekuja kivingine bada ya kula ban
nisichokijua ni kiasi gani ccm wametenga kufanya kazi hii ambayo lengu lake kubwa ni kuchelewesha ukombozi wa mnyonge wa TanzaniaKwa taarifa CDM ni chama cha kizazi kipya. Kuna mikikimiki mingi ya ukombozi kara vile operation sangara, mara M4C, mara vua gamba vaa gwanda. Hakuna kulala mpaka kieleweke. Wazee wenye makovu ya CCM hawaiwezi. Wataingia na kutoka. Waacheni waende zao. Akitoka moja huingia kumi. 2015 mabadiliko ni lazima! Hiyo ni kauli mbiu ya kizazi kipya.
Kwa hiyo unapinga vigogo wa Chadema Morogoro hawajahamia CCM?
Na Severin Blasio, Morogoro
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Morogoro, Bw. Abeli Ruanda pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani Morogoro Bw. Rajabu Ally Kiselengo, wametangaza rasmi kuhamia CCM.
Wakizungumzia na gazeti hili kwa nyakati tofauti, viongozi hao walidai kujiunga upinzani kwa bahati mbaya kama abilia awapo barabarani ambapo linapotekea gari lenye umbo na rangi nzuri hulazimika kuingia ukiamini ni chombo imara wakati mashine yake ni mbovu na haiwezi kuwafikisha popote.
Mbali na kuipongeza CCM kwa uimara wake, viongozi hao walisema vyama vya upinzani havina sera ya kuwakomboa Watanzania bali viongozi wake wanataka kujinufaisha.
Chanzo: Gazeti la Majira, Dec 4, 2012
walitegemea kupata posho, kwa hiyo anaona sera nzuri morogoro Abood kutoa basi kupeleka watu kwenye mazishi? njaa mbaya sana
Siyo vibaya..siasa ni kazi kama kazi nyingine...kama ukiona hailipi tafuta kazi sehemu (chama) nyingine. Tusidanganyane wanasiasa wote wapo walipo kwasababu ya njaa zao na tamaa ya madaraka. Haya ya kusema kwamba fulani alikuwa mzigo ndani ya chama au fulani alipotea njia ni porojo tuu........wakati mwingine tuwe wakweli
Na Severin Blasio, Morogoro
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Morogoro, Bw. Abeli Ruanda pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani Morogoro Bw. Rajabu Ally Kiselengo, wametangaza rasmi kuhamia CCM.
Wakizungumzia na gazeti hili kwa nyakati tofauti, viongozi hao walidai kujiunga upinzani kwa bahati mbaya kama abilia awapo barabarani ambapo linapotekea gari lenye umbo na rangi nzuri hulazimika kuingia ukiamini ni chombo imara wakati mashine yake ni mbovu na haiwezi kuwafikisha popote.
Mbali na kuipongeza CCM kwa uimara wake, viongozi hao walisema vyama vya upinzani havina sera ya kuwakomboa Watanzania bali viongozi wake wanataka kujinufaisha.
Chanzo: Gazeti la Majira, Dec 4, 2012
Na Severin Blasio, Morogoro
ALIYEKUWA Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), mkoani Morogoro, Bw. Abeli Ruanda pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani Morogoro Bw. Rajabu Ally Kiselengo, wametangaza rasmi kuhamia CCM.
Wakizungumzia na gazeti hili kwa nyakati tofauti, viongozi hao walidai kujiunga upinzani kwa bahati mbaya kama abilia awapo barabarani ambapo linapotekea gari lenye umbo na rangi nzuri hulazimika kuingia ukiamini ni chombo imara wakati mashine yake ni mbovu na haiwezi kuwafikisha popote.
Mbali na kuipongeza CCM kwa uimara wake, viongozi hao walisema vyama vya upinzani havina sera ya kuwakomboa Watanzania bali viongozi wake wanataka kujinufaisha.
Chanzo: Gazeti la Majira, Dec 4, 2012