Pope
Senior Member
- Dec 3, 2007
- 117
- 0
- Thread starter
- #21
Kwa hali ilivyo sasa tutegee mpasuko na mkengeuko wa maoni kati yao. Kwani kuna waliotolewa Kafara na wanaona kuwa hawakustahili hii itafanya nao kujitutumua na kutulisha wapiga filimbi habari. mwisho wa yote tutawabomoa kwa Hoja.
Vita ya Panzi mavuno kwa Kunguru.
Vita ya Panzi mavuno kwa Kunguru.