Vigezo kujiunga na JKT

Vigezo kujiunga na JKT

Lengo lao kubwa ni kusiwe na degree holders wanajeshi sijui? Vijana kibao tupo mtaani tunataka enda jeshi, kulitumikia Taifa na.pia kama kazi. Mtaani kugumu sana. Walegeze masharti yasiyo ya msingi kama ilo la umri. Itakuja.kuuma.zaidi utakaposikia.fulani na umri wake wa miaka 28 kaingia jeshini kisa ana undugu na fulani..

id yako tu inaonesha kilichomo kichwani mwako
 
Jamaa nimemaliza nae diploma ya i.t chuo fulani mkuu.sasa sijui kaenda kwa mujibu au??

Sina uhakika kwasababu hata wa mujibu hawa walimu hawajapas out ila nisubirini kesho nitawapa majibu ya uhakika hapa hapa ngoja nifanye uchunguzi wa kina juu ya habarii hii
 
Sina uhakika kwasababu hata wa mujibu hawa walimu hawajapas out ila nisubirini kesho nitawapa majibu ya uhakika hapa hapa ngoja nifanye uchunguzi wa kina juu ya habarii hii

Ingewezekana ningeweka hapa hii barua sema nitamchoresha jamaa.
 
Mimi sibishani,na why niwarushe roho??nimeshuhudia barua kwa macho yangu,mshkaji wangu kaambiwa akareport 841 kj kigoma.endelea kuwaamini hao watu wa jikoni mkuu

Kwanza huu ni uzushii mtupuu kwanza hiyoo kj haipi kigoma 841 ni mafinga na nafasii haziwezi kuwa kimya kimya kama vile ni kazi za usalama wa taifa jkt watawataairifu bijana mnaopenda kwanza saizi tovuti yao iko under constraction kwaiyo vijana tulizeni ---- izo nafasi badoo
 
Umeshahukumu ni uzushi,niiweke ya kazi gani???haina haja ya kubishana.

Hahahahaha unapotoa taarifa hakikisha huweki uncertenity kwa audience mkuu ukiweka ni faida yangu tuu ni kwaajiri ya woote otherwise utakua unawafanya watu waone ni uzushi by the way am sory kama nimekukwaza
 
nina connection na mkuu wa mshauri wa mgambo mkoa kaniambia hizo nafasi bado tuendelee kuskilizia.
 
Back
Top Bottom