Vifo vilivyoniumiza JF

Zamani nikisikia neno kifo niliogopa sana
Nikiumwa nilikua nawaza kifo mda wote

Ila sasa sijui nini kimetokea naogopa kupoteza au kufiwa na ninao wapenda
Hiyo trauma ya kufiwa na vipenzi vyangu kheri nife wa kwanza tu ila mimi binafsi hata nikifa leo naona sawa tu
 
kuna mama alifiwa na mwanae wa kiume alilia sana akisema kwanini sjafaa mim wew ukabaki sjui ni nature au nini na huyo mama alikufa the next day gafla tu
 
Hii planned death wakati inapangwa Mungu si anaona na anajua?
Ila anaacha maana yake anaruhusu?

Aiseee nitakufuru bure tuache tu
Binadamu wana roho mbaya sana kuna mwandishi wa habari alikua anaitwa Jamal kassog aliingia ubalozini uko uturuki kufanya process za kuoa

Ila mwana wa Saudi Arabia alitoa taarifa jamaa auwawe na walifanya hivyo kwa kumkata kata vipande vipande yan hata mfupa hauku onekana


Lakuskitisha Zaid mpenzi wake alikaa nje ya ubalozi akimsubiri jamaa atoke for many hours ila wapi..
 
Duuh!Gwapo Mwakatobe kafariki,Sikujua!Poleni wote Wana Jf, Mungu awafarkiji wanafamilia pia
 
Pole sana kwetu JF, BWANA alitoa naye ametwaa jina lake libarikiwe. Kuna ID kadhaa hapo kama nazikumbuka kwa mbali sana japo nilibadili ID yangu nazikumbuka. This reminds us that behind all these anononymous IDs there is real and valuable life. Ni matumaini yangu kuwa JF itaendelea kuwa jukwaa lenye kuthamini hilo.
 
Niliona japo sikumbuki ni mwaka gani na video za CCTV zilionesha akiwa maeneo ya ubalozini hapo kwa mala ya mwisho sometimes nashindwa kujua maana ya maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…