Vifo 19 katika ajali ya ndege Bukoba, muuaji apata kazi katika kikosi cha zima moto

yash_ed

Senior Member
Jan 9, 2020
142
381
Inasikitisha sana yale yaliyotokea kipindi MV Bukoba inazama leo hii ndiyo yale yale yaliyoikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivyotarajiwa.

Sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika, baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji.

Kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndiyo mlango ukafunguliwa.

Yakafanywa yale yale ya MV Bukoba, akatokea kijana wa hovyo asiye na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo akafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege.

Ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia, ni jambo baya mno.
 
Mlango usingevunjwa wangekufa kwa kukosa hewa. Ndege haina mfumo wa kuingiza hewa ndani naturally...lazima engine ziwake ndo hewa iingie..it's obvious engine zilizima ndege ilipokuwa kwenye maji. Na pia ukiangalia Ile pua ya ndege ilivyoharibika lilikuwa ni suala la muda tu ndege ingejaa maji
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Wewe ni jitu jinha sana una akili mbovu mno ndege ikizima engine oxygen inatoka wapi wakati mzunguko unategemea umeme? Yaani hili sio la kusikiliza aisee. Heri nusu shall kuliko shari kamili.
 
Mnatuchanganya mara kijana alitoa msaada, mara aonekane yeye ndo kaingiza maji ndani, mbona kijana wakati akijojiwa anasema rubani alikuwa akimuelekeza avunje watoke ndo akazuiliwa na huyo mtu alokuwa pale?

Alafu ile ndege haikuwa mbali na nchi kavu inamaana kungekuwepo na vifaa vya uokoaji vya kisasa wangepona wengi.
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Wewe ni mtu wa ovyo Sana

Unakurupuka na kuleta upuuzi wako hapa!
 
Inasikitisha sana yale yalotokea kipindi mv bukoba inazama leo hii ndo yale yale yaloikuta ndege yetu na kusababisha vifo visivotarajiwa sina uzoefu na ndege ila siku ya tukio sikuwa mbali na eneo husika baada ya ndege kupata ajali eneo la mbele la ndege liliingia ndani ya maji na kubakiza mkia na eneo la kati vikiwa havijafikwa na maji kilikuwa ni kitendo cha kuvutwa ile ndege na kusogezwa eneo lina kina kidogo ndo mlango ukafunguliwa yakafanywa yale yale ya mv bukoba, akatokea kijana wa hovyo asie na maarifa akafungua mlango wa ndege na kusababisha abiria walokuwa ndani ya ndege na rubani wetu maskini wamejifunga mikanda ili kungoja taratibu za uokoaji, kijana wa hovyo alafungua mlango na kuingiza maji kwenye ndege ndicho kilichofanya abiria hao 19 kufariki Dunia ni jambo baya mno
Unamlaumu hiyo elimu alikuwa nayo?
 
Back
Top Bottom