cumuro International
Member
- Aug 28, 2015
- 17
- 0
Mwaka huuuuu mwaka huuu mwaka huuuuuu
BY Jay Jay na Abdul Moh'd
.......kuchukua alama za mikono,macho....
Ukawa mwaka huu mnastaafu siasa, hizo mbinu zenu zishajulikana siku nyingiKuna habari kuwa BVR machines zimekamatwa maeneo ya Mwenge ITV karibu au ndani ya viwanda vya MM Steel vikiendelea na zoezi la kuandikisha wapiga kura.
Mwenye taarifa zaidi atujuze ilikuwaje.
===================================
Chanzo: NIPASHE
Mkuu ukisema hivyo unamaanisha kuwa NEC wanahusika? Huyu mwenye kitanda ni mfadhili wa EL au unajidai hujui?Aisee.?????? NEC Huu mchezo mnaiangamiza Tanzania yetu nzuri.Jamani,Madaraka kweli yasababishe tuchinjane? Mzee Judge Lubuva huwa nakupigia kinanda pale St.Peter's kwenye misa zetu,I served you in the Holy Requiem Mass of Your Beloved Wife,Please,take this seriously. Ni heri ujiuzulu kama unaona huna kauli tena ndani ya management ya NEC. Heshima yako kwa watanzania na Mbele ya Mungu wetu itaishi milele.
This thing is genuine BVR!
Huu ni mchezo wa CCM na Idara ya nyeti (corrupt and rotten system)
Imeandikwa ndani ya gazette la Nipashe!!
Unam-quote Almarhumu? au kweli hamkumuua? maana ccm ndo zenu hadi kumfisha baba wa watu ili kuficha wizi wenu?? dawa yenu inachemka.Mkuu ukisema hivyo unamaanisha kuwa NEC wanahusika? Huyu mwenye kitanda ni mfadhili wa EL au unajidai hujui?
picha kila kitu na polisi wamekamata bado unasema ni uchochozi wewe shanging utakua unajua kuuweka mpini mdomoni sana