Vidonge vya mateja vimenifikirisha sana,

Vidonge vya mateja vimenifikirisha sana,

Mi nilidhani ANAUMWA lakini maswali nilio jiuliza, mbona vinafichwa? Kwanini huyo jamaa anawauzia mateja, hawapajui pharmacy? Na je pharmacy wanafahamu hivo vidonge vinatumiwa na mateja kama kichangamshi?
Kimsingi Dawa nyingi za pharmacy zikitumika ndivyo sivyo matokeo yake ni yale yaleeee,,,,,,,ni vileee.....kwa mfano Valium ukiisaga ukachanganya kwenye fegi ,,,,,,,,,, ila ....usijaribu yakheee.,,,Halafu kuna dawa inaitwa Trazodone........utajua mwenyewe................
 
Kimsingi Dawa nyingi za pharmacy zikitumika ndivyo sivyo matokeo yake ni yale yaleeee,,,,,,,ni vileee.....kwa mfano Valium ukiisaga ukachanganya kwenye fegi ,,,,,,,,,, ila ....usijaribu yakheee.,,,Halafu kuna dawa inaitwa Trazodone........utajua mwenyewe................
Dah noma sana
 
Nilikua mishemishe kukusanya oda za detergents huku na kule, ni kawaida kula chochote msako bako Kwa bako, nimeingia hapa mara nika wakuta mateja wamejaa, ni njiani tu hawana shida hao, sasa kilicho nifikirisha Teja Mmoja akatoka vidonge rangi ni kama kijani sijui rangi gani ile, lakini kavitoa Kwa Siri huku anaficha nikajiuliza kama ni vidonge vya kutibu Kwa Nini Teja avifiche? Na sizani kama ni cocaine ile no ni vidonge ila nadhani wanapata stimu, hofu kama ni vidonge kawaida Kwa nini aangalie huku na huku na kama ni drug je vinauzwa pharmacy? Na je pharmacy wanatambua Hilo? Mana Kuna mtu Alisha nambia wahuni huvuta Hadi petrol, nilishangaa sana, hivo muonekano ni vidonge kama vidonge na vina rangi na vimo kwenye kipacckage yake kama paracetamol ilivo wekwa ila vyenyewe ni vina rangi Fulani hivi, dah
Kuna dawa ya maumivu jamii ya opioid inaitwa tramadol inatumika vibaya kama dawa za kulevya.
 
Nilikua mishemishe kukusanya oda za detergents huku na kule, ni kawaida kula chocho zote msako bako Kwa bako, nimeingia hapa mara nika wakuta mateja wamejaa, ni njiani tu hawana shida hao, sasa kilicho nifikirisha Teja Mmoja akatoka vidonge rangi ni kama kijani sijui rangi gani ile, lakini kavitoa Kwa Siri huku anaficha nikajiuliza kama ni vidonge vya kutibu Kwa Nini Teja avifiche? Na sizani kama ni cocaine ile no ni vidonge ila nadhani wanapata stimu, hofu kama ni vidonge kawaida Kwa nini aangalie huku na huku na kama ni drug je vinauzwa pharmacy? Na je pharmacy wanatambua Hilo? Mana Kuna mtu Alisha nambia wahuni huvuta Hadi petrol, nilishangaa sana, hivo muonekano ni vidonge kama vidonge na vina rangi na vimo kwenye kipacckage yake kama paracetamol ilivo wekwa ila vyenyewe ni vina rangi Fulani hivi, dah
Itakua mandrax au dawa tiba nyingine ambazo zinalevya na hutumiwa mahospital haswa kwa wagonjwa wenye shida ya afya ya akili
 
Elimu kubwa inatolewa bado sielewi inakuaje mpaka mtu anatumia madawa.
Hakuna mtu anachagua kuingia kwenye uraibu rafiki yangu.

Miili yetu ni dhaifu mno.

Mateja, walevi, wavutaji, malaya nk. huchochewa kujaribu tu mambo hayo ila wakishaingia wanatekwa na uraibu.
 
Back
Top Bottom