Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,588
Hivi ile mistari ya dushe nayo sio unique kweli??
Mkuu mmmh, mbona inaogopeshaVidole mfu angalia juani kama una vivuli vitatu.. Kikipungua kimoja basi ujue hata Vidole havitaweza kusoma popote
Vivuli vitatu
Naandika nikiamini Ulishawahi kujiuliza kuhusu kivuli chako ama la kusikia walau kuhusu ushirikina unaohusisha kivuli. ...Lakini naamini kabisa hukuwahi kudhani kuwa unavyo vivuli vitatu Vivuli hivi vitatu havionekani muda wote bali wakati wa jioni jua linapozama au usiku kwenye mbalimwezi...www.jamiiforums.com